Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

HAKUNA MTU AMEKUFA NJAA Kenya 2022-2023. Get your facts right. Ata wanorth Korea hawateti bei ya unga lakini haimaanishi maisha yao iko sawa, ni serikali yao mbaya kama ya CCM
Hahahaha hizi tarifa za mwaka jana mwishoni kila sekunde 36 anakufa mtu.

 
Tunanunua unga karibia bei moja na wadanganyika alafu unasema sisi hatufai kuandamana. Wakenya ni matajiri kuliko wadanganyika. Nyinyi bakini kwa umaskini wenu na kunyamazishwa na CCM
Bei huku ipo juu kwasababu mahindi mengi mnanunua nyie kwa bei ya juu..
Tulikua tunanunua unga kwa 1100 mwaka 2020

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
This poor souls from danganyikaland cannot afford unga huko kwao but they cannot protest because of CCM ruthlesness na uoga mingi ya ujamaa
Tanzania tuna mchele,mihogo,viazi aina zote,pasta na majina yake yake yote,tuna ndizi nk...ni nyie wapuuzi ndio mnakula unga asubuhi mchana na usiku

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Kenyas mobile money transactions are larger than Tanzanias GDP
View attachment 2562630
Hapa tunazema 2020 ngoja naendelea kuja nitakuletea za 2022
2020 $81 billion

1679577270538.png
 
Back
Top Bottom