Magonjwa Mtambuka
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 33,880
- 32,656
Arap Kipchirchir Ruto anakungoja akulishe teargas jumatatu ijayo😂😂Mnaogopa tu ukweli, why should I have jealousy over potholed roads? 😂😂😂😂
Arap Kipchirchir Ruto anakungoja akulishe teargas jumatatu ijayo😂😂Mnaogopa tu ukweli, why should I have jealousy over potholed roads? 😂😂😂😂
Hivi ninyi wakenya mko na matatizo gani?, Hawa hapa wakenya wanaendelea kufa kwa njaa,HAKUNA MTU AMEKUFA NJAA Kenya 2022-2023. Get your facts right. Ata wanorth Korea hawateti bei ya unga lakini haimaanishi maisha yao iko sawa, ni serikali yao mbaya kama ya CCM
Sasa unaona vile unajikanganya. Hapo awali ulisema ikitokea bei za bidhaa muhimu kupanda, mtaweka subsidy. Sasa ngoma imebadilika tena eti hakuna nchi hapa Africa yenye inaweza weka subsidy. Kwa hivyo nyinyi mpo ulaya?Aliondoa kwasababu" it is not sustainable", hakuna nchi yoyote hapa Africa yenye kuweka sudsidy kwenye chakula na mafuta kwa kipindi Cha zaidi ya miezi sita, 40% ya imports za nchi ni mafuta.
Sasa jiulize, pamoja na kuondoa subsidy lakini bado Kenya inakumbwa na upungufu wa pesa za Kigeni, hali ingekuaje Kama angeweka hiyo subsidy?.
Tatizo lenu Kenya ni "low productivity" katika sectors zote kuanzia kilimo, manufacturing sector na maeneo mengine, matokeo yake Kenya imegeuka kuwa ni nchi ya kutumia "Consumption economy".
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Ndiyo hiyo hapo BRT yenyewe Boss.
More expensive than Kenya. In Kenya 1Kg is 90 bob, that's around 1530 Tanzagiza shillings.
Kwanini Sasa watu wanakufa?Umeongea kwa hasira sana. Aliyekuambia kwamba wakenya walio vijijini hawalimi mahindi ya kula ni nani? Wewe unafikiri kila mkenya hadi yule anayeishi kijijini amwtumia unga ya kuuza supermarket?
Hongereni mmejaribu.Mombasa mteza bridge almost complete.
View attachment 2562612View attachment 2562613View attachment 2562614
Hatujajaribu, Mombasa has more bridges than Dar and Mwanza combined.Hongereni mmejaribu.
You refused to look at the point ukazama kusahihishaHalafu utajitetea eti hiyo ni typo🤣😂😂
Kwani kuna ubaya gani?You refused to look at the point ukazama kusahihisha
sasa kama hamuweki siasa mbele kama wakenya kwa nini kenya imepiga maendeleo kuwaliko?Mkuu sisi watanzania huwa hatujali sana mambo ya kisiasa sisi tunachotaka ni maendeleo pasipo kujali chama kitakuwa kipi, tofauti sana na ninyi wenzetu kidogo siasa mmeiweka mbele sana kuliko maendeleo. Ndio maana unaona tangu Tz iamke imekuwa ikiwapa shida sana kimaendeleo kwasababu sisi huku ni kazi tu kama China hatuna mda na siasa, zikipita zimepita, huku kwetu yeyote yule anaweza ongoza nchi na wala huwezi kusikia tatizo la njaa.
Nimesema mmejaribu kwasababu sisi huku kwetu tuna madaraja marefu kuliko hilo Boss, mfano hili hapa ni Magufuli bridge ambalo ni mara mbili ya hilo lenu kwa urefu. Hilo lenu ni 1.4km ila hili 3.2km samahani lkn kama nimekukwaza.Hatujajaribu, Mombasa has more bridges than Dar and Mwanza combined.
Sawa Boss.
wakenya wakaletwa tanzania wanapata sababu kama elfu moja za kuandamana huko KAMA KATIBA MPYa etcMkuu huwezi kuandamana bila sababu ya msingi, sababu ikiwepo lazima muandamane hata kama serikali haitaki mana hata nyie huko kwenu mmeandamana licha ya kwamba serikali haitaki.
Kama unaona Kenya ina maendeleo kuliko Tz mm ni nani nikupinge kiongozisasa kama hamuweki siasa mbele kama wakenya kwa nini kenya imepiga maendeleo kuwaliko?





