ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,425
- 85,268
Kwa manifesto yake alisema ndani ya siku 100 atakua ameshukisha bei ya unga wa 2kg hadi 70. Wakenya wanamkumbusha tu
Nilivyokuwa nakwambia hayo yote nilikua najua kabisa kwamba mpo wakenya mnaolima, lakini kwa Tz ni case tofauti kabisa kwasababu asilimia zaidi ya 70 ya watanzania wote ni wakulima tu na Ardhi ya Tz karibu yote inafaa kwa kilimo .. ni ngumu kukuta huku watu wanaandamana kwasababu ya msosi mzee..Aliyekuambia wakenya hawalimi mahindi kwa minajili ya matumizi ni nani? Tangu nikiwa mtoto hakuna siku tumetumia pesa kununua unga ya duka coz tunalima mahindi kijijini kwetu. Hata hizo mboga unayotaja ni vivyo hivyo. Ninyi mnafikiria hii dunia huzunguka tu Tanzania pekee yake!
Viazi kenya hulimwa sana hadi zingine huozea mashambani. Mchele ata nyinyi wenyewe mnaimportMnakima chai na maua,
Viazi mchele nk mnaagiza Tz, usifikiri mimi ni dumb kukuzidi
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
No wonder Tanzanian farmers are poor. Maize has no benefit to farmer, Geri nipande miraa kuliko mahindi.Mahindi hayana faida wakati mnaandamana kulalamika unga ushuke bei! unga unatengezwa na nini? hivi Wakunya reasoning yenu mbona ipo low sana?
Ukiiona kenya nipo paleeeeViazi kenya hulimwa sana hadi zingine huozea mashambani. Mchele ata nyinyi wenyewe mnaimport
Kenyans are not fighting for Unga in real sense. When Germans went to the street to demonstrate for bread did they mean the real bread? In this case Unga or bread means the overall cost of living.Halafu bado mnataka kupindua serikali kisa buku Jero 😂😂😂😂
Sijui hua munapata faida gani kudanganya🤣Kenyans are not fighting for Unga in real sense. When Germans went to the street to demonstrate for bread did they mean the real bread? In this case Unga or bread means the overall cost of living.
Kenyans are not fighting for Unga in real sense. When Germans went to the street to demonstrate for bread did they mean the real bread? In this case Unga or bread means the overall cost of living.
mkienda mbali sana ni githeriso unafikiria kenya hakuna vyakula vingine? i dont think you are this dumb
😂😂😂😂😂 Hawa watu sijui ilikuaje wakamiliki smartphone 😂😂😂 ni wapumbavu wa mwishoHuyo unamjibu kwani ni ana akili huyo.? 🤣🤣
Wivu utakuuaHizi articles za Wikipedia hata mimi naweza kuandika yangu kwamba Nairobi ni mavi na itakuwepo hapo!
Articles mziandike wenyewe halafu mje kutulingishia.
hayo maeneo ni kama mashamba ya watu wawili TanzaniaKumaanicha Ahero na Mwea are rice growing areas from Tanzagiza?😂😂