Nilijaribu tu kuwaza kulingana na distribution zones zao. Ndio nikauliza kwanini viwanda viwili ndani ya zone moja!?Unawapangia taasisi binafsi wawekeze wapi? Umekuwa mzee Mwendazake wa Chato?
Didn't I say it's promotion? Ama haukunielewa? Timu inaweza fanya promortion with any entity, as long as both parties have agreed. Arsenal are promoting Fly Emirates and Rwanda on their Jersies. Tottenham Hotspur are promoting AIA Group Ltd on their Jersies while Liverpool are promoting Standard Chartered bank as so on and so forthMechi ikitangazwa wanasema Simba from Tanzaniana pia bendera ya nchi inapepea uwanjani na mashabiki hujua kuwa hii timu imetoka Tz na kuanza kufuatilia Tz in that sense.![]()
Kama hiyo barabara imebanana zile vichorochoro vya uswazini Dar tutaitaje?Barabara zipo Boss ila ni za kubanana sana pia ni za kiwango cha chini sn, ila hamna shida nimekuelewa mkuu.
Yes matako yenyewe ni Kenya Power company na regulator wenu and the whole nation in generalsays a CCM die hard,, hio habari umetoa kwa matako ama?



Says a person who has not eaten for two days due to lack of foodKenya tunatengeneza pesa nyingi kwa kilimo kuliko Tanzania

Barabara haikidhi vigezo ndio alimaanisha hivyo. Yaani haisanifu mazingira ya kuendana na hizo buildings hapo.Kwa hivyo hujaona barabara kwenye hizi picha? Uko na tatizo mahali kama hujaona Barabara hapaView attachment 2562338
🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌
Kuleni maua na salads maandamano ya nini sasa kumbe kilimo mpo vizuriMwambie. Ukanda huu hakuna nchi inaingiza pesa nyingi kwa horticulture kushinda Kenya

Hebu tuletee bei ya unga Tanzania tulinganishe. Na ufahamu mwaka jana tumekua na kiangazi ndo maana ukulima wa mimea kama mahindi ulitatizikaSasa jiulize tena,mnatengeneza pesa nyingi mbona bei ya unga iwe issue?(sema wanatengeneza wakubwa pesa SIO TUNA)
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Nyinyi ni viumbe vya ajabu sana. Tanzania ikizuia bidhaa za Kenya kuingia ndani ya nchi yenu inakuwa eti mnalinda soko lenu na kucaution local farmers. When Kenya does the same eti Kenya wanazozana na majirani zake. Hivi, hamchoki?@Choice Variable , Jamaa zako hao wanaendelea na fujo zao. Never trust these people in anything.
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Kuna jamaa wao mmoja nilimuuliza jana the same thing atuambie bei ya unga, mafuta na sukari huko kwao tulinganishe na bei zetu. Bado nangoja jibu lake hadi saa hiiHebu tuletee bei ya unga Tanzania tulinganishe. Na ufahamu mwaka jana tumekua na kiangazi ndo maana ukulima wa mimea kama mahindi ulitatizika
Bei ya unga inatofautiana na eneoHebu tuletee bei ya unga Tanzania tulinganishe. Na ufahamu mwaka jana tumekua na kiangazi ndo maana ukulima wa mimea kama mahindi ulitatizika
Sukari 1kg 2300,unga 1800kg na mafuta ya alizeti lita moja ni 5000-6500 (tshs)Kuna jamaa wao mmoja nilimuuliza jana the same thing atuambie bei ya unga, mafuta na sukari huko kwao tulinganishe na bei zetu. Bado nangoja jibu lake hadi saa hii
Kwanini kiangazi kiwatatize wakati mpo na pesa nyingi, kwanini msijenge miundombinu ya umwagiliaji Kama wafanyavyo Egypt na sisi Tanzania?.Hebu tuletee bei ya unga Tanzania tulinganishe. Na ufahamu mwaka jana tumekua na kiangazi ndo maana ukulima wa mimea kama mahindi ulitatizika
Maua tunauza kisha tunanunua mahindi. The thing is, kilimo ya mahindi has low ROI ikilinganishwa na mazao mengine kama za horticulture. Ndio maana tunakuja maua na mimea zingine na kutumia pesa tunayopata kununua mahindiKuleni maua na salads maandamano ya nini sasa kumbe kilimo mpo vizuri![]()