Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Haya piga makofi 🤣🤣🤣🤣


Meanwhile in Tanzania 👇
20230311_083318.jpg
20230311_083246.jpg
 
Hebu niletee data ya idadi ya wakenya wamekufa njaa mwaka huu pekee yake
Idadi kwani mutasema ukweli wangap wanakufa wakat kila siku waty wanakufa na njaa na hamuna msaada wala thamani juu ya maisha ya wakenya kzi kujisifia ujinga tu
 
Idadi kwani mutasema ukweli wangap wanakufa wakat kila siku waty wanakufa na njaa na hamuna msaada wala thamani juu ya maisha ya wakenya kzi kujisifia ujinga tu

Kila siku? 😂😂
Ndio maana nikasema unipe data. Kwamba wiki jana walikufa watu ngapi, mwezi iliyopitia hivyo hivyo
 
Sasa jiulize tena,mnatengeneza pesa nyingi mbona bei ya unga iwe issue?(sema wanatengeneza wakubwa pesa SIO TUNA)

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
i have tea, coffee and rice farms etc and am not even the richest person in my village street and i am making alot of money. Normal Kenyans are way richer than danganyikans
 
Kila siku? 😂😂
Ndio maana nikasema unipe data. Kwamba wiki jana walikufa watu ngapi, mwezi iliyopitia hivyo hivyo
Kwani nimekupa nn ?? Hujaona au ?? Alaf unacheka kabisa ukiona mazuri nyinyi ni watu gani musiopenda kukubali udhaifu wenu ?? Munaona kama dunia haijui kinachoendelea au???
 
i have tea, coffee and rice farms etc and am not even the richest person in my village street and i am making alot of money. Normal Kenyans are way richer than danganyikans
Eti rice nimecheka mpaka basi 🤣🤣🤣 hio coffee yenyewe hakuna kitu zaidi ya tea na hio tea mashamba mengi yanamilikwa na wazungu na wanasiasa hao ndio wanatengeneza pesa wanawaacha maskini kama nyinyu munajifia na njaa
 
Kwamba hao 3.2m wamekufa? 😂😂😂😂
Your desperation is on another level bongolala
Ww huoni hata aibu kuskia wanavunzi zaidi ya 3.2m wanakumbwa na njaa ?? Au ni fakhari kwenu??🤣🤣🤣🤣🤣 nani kasema hii link nimemaanisha kufa au unatafuta njian ya kutoka
 
Kenya is still richer than Tanzania in every measurable metric
Kwani mkuu wewe kipimo cha utajiri wa nchi unakipima kwa kutumia nini, GDP au maliasili za nchi? Au uchumi wa mtu mmoja mmoja au unatumia hali ya raia kujikimu, unatumia kipimo kipi tafadhali niambie mkuu mana kwa hizi nchi zetu za third world mmoja kumtambia mwenzake kwamba ni tajiri naona kama tunachekesha hivi au we unaonaje mkuu.
 
Kwani mkuu wewe kipimo cha utajiri wa nchi unakipima kwa kutumia nini, GDP au maliasili za nchi? Au uchumi wa mtu mmoja mmoja au unatumia hali ya raia kujikimu, unatumia kipimo kipi tafadhali niambie mkuu mana kwa hizi nchi zetu za third world mmoja kumtambia mwenzake kwamba ni tajiri naona kama tunachekesha hivi au we unaonaje mkuu.
Gdp, gdp per capita na human development index HDI ndo vipimo vya standard ya maisha ya wanachi katika nchi fulani na Kenya imeizidi Tanzania kwa zote
 
Back
Top Bottom