ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Up to 40000 tonnesvs Bagamoyo Sugar 30,000 tonnes.
Up to 40000 tonnesvs Bagamoyo Sugar 30,000 tonnes.
Joke of the year 🤣🤣🤣
110m dollars phase one upto 40,000 tonnes annually na hatupigi keleleHii ingekuwa inajengwa huko Tanganyika the whole world would have known
Sahvi ni shamba la kufugia kondoo na mbuzi 🤣Ultra modern stadia 🤣🤣
Kuna baadhi ya miradi ukionyesha wako alafu mwenzio akionyesha wake unaweza ukasema mlikuwa mnacheza tu aisee.110m dollars phase one upto 40,000 tonnes annually na hatupigi kelele
Na hapo kuna huge expansion ya over 280m usd ikiiendelea kilombero sugar na sasa iko mbioni kumalizika 👇👇👇 Na huskii watu wakipiga kelele humu 😆😆😆Kuna baadhi ya miradi ukionyesha wako alafu mwenzio akionyesha wake unaweza ukasema mlikuwa mnacheza tu aisee.
Kitu muhimu duniani ni amani, watu waweze kufanya kazi zao kwa amani na utulivu, baada ya amani binadamu anahitaji haki katika fursa za uchumi, haki na kuthaminiwa utu wake. Hi kauli yako ya "Kila kabila huwa inapenda kwao kwanza" huu ni ujinga na upuuzi unaoimaliza Kenya, hatuna huo ujinga huku TZ.https://youtu.be/a7azlJymsfMThe same way you look our issues of governance through tribalism is the same way we look of ur governance through only one party CCM. Uzuri au ubaya ni kila mtu anajua ya kwake. As have told you sisi bargaining of national cake is done through our origin of blocs & the population. We can't bury our head in the sand and assume we don't have tribes. Kila kabila lazima napenda la kwao kwanza kisha tuna negotiations na yule ambaye ana self ideology kama wewe in the grassroots level. Kwa hvyo siasa yetu ni local, its politicians who cause friction between masses.
Na bado wapo hapa wakisifia katiba lao bovu ambalo haliwezi kusaidia katika mambo ya msingi Kama haya.
sasa 10,000 tons mbona kidogo sana!Hii ingekuwa inajengwa huko Tanganyika the whole world would have known
Unawapangia taasisi binafsi wawekeze wapi? Umekuwa mzee Mwendazake wa Chato?Arusha kipo Kiwanda Njiro pale... Mbona wanaweka tena na Moshi jirani tu hapo?
Hawataki kutanua uwanja na masoko? Distribution zones hapo zitakuwaje?
SBL nao wako na kiwanda Moshi, Huko bia watauziwa buku buku...
One of the best measures of poverty is the ease access to food. There is no great wealth in the world like good health which you cannot talk about if the access to food is poor.
If Tanzanians are worse off, kindly provide us with such kind of stories below.
kenya has a bigger GDP per capita than TanzaniaAnd your point is?
hamuwezi andamana CCM itawauaHatujawahi kushuhudia maana hatujawa na sababu ya kuandamana.
Miwa yenyewe watoe wapi? Si ajabu wakawa wana import miwa kwaajili ya kutengeneza sugar ali nradi na wao waonekane wana viwanda vya sukarisasa 10,000 tons mbona kidogo sana!



Fanyeni siasa ya kilimo kwanza,hamtawahi pata bei nafuu kwa mahindi ya kununua,Unga sio staple food ya France lakini wanaprotest sababu ya high cost of living which includes basic commodities zenye equivalence ya unga huko kwao
![]()
Protests In France Over Rising Costs of Living
On Sunday, October 16, 2022, tens of thousands of Parisians took to the streets in protest over France’s rising cost of living, demanding wage increases along with other reformative measures. The e…theowp.org