Wewe ni mtoto na hujielewi. Kama unasema ni timu moja moja ndio inaenda, ebu tuambie ni timu gani hiyo ilienda na walifika wapi.
Ulitoa kisingizio kuwa Girl Maria hayupo CAF competition sababu ya ban ya FIFA
Receipt
(Main points ni Girl Maria na FIFA ban).
Ndo nikaja nikakuambia ban ya fifa sio sababu ya girl maria kutokuwepo kwenye CAF competition sababu hata kusingekuwa na ban, Girl Maria asingeshiriki.
Ngoja nikufananulie hapa.
Ban ilikuwa mwaka 2022 (Jan/Feb). Maana yake msimu wa CAF (2021/22) hapa ulikuwa unaendelea (ulianza Sept, 2021 na ukaisha June, 2022, yan ban ilikuja katikat ya huu msimu). Na washiriki wa huu msimu walitokana na league log ya mwaka 2020/21 ambayo nimeweka hapo (msimu kbl ya FIFA ban), girl maria alishika nafas ya 8
(so ban ya FIFA sio sababu ya Girl Maria kutoshiriki CAF, bali ni uwezo mdogo wa Girl Maria)
Tukija kwenye msimu wa 2021/2022 ambao ungetoa washiriki kwenye CAF competition ambayo yanaendelea saiz (yalianza Sept, 2022 na kuisha June, 2023, ban ilikuwa bado active). Girl Maria asingeshiriki kwa sababu alishika nafas ya 3 kwenye huo msimu
(so hapa tena, ban ya FIFA sio sababu ya Girl Maria kutoshiriki CAF, bali ni uwezo mdogo wa Girl Maria)
Haya, tukirud nyuma msimu wa CAF competition (2020/2021) ambao Girl Maria alishiriki kwa mara ya mwisho, alikutana na hiki kipigo nje ndani (yan alidinywa ghetton kwako na ghetton kwa jamaa) round ya mwisho kbla ya kuingia makundi
Hapa beautifu Girl Maria alipodinywa ghetton kwa jamaa
Na hapa, jamaa alivyomdinya tena bila huruma beautiful Girl Maria ghetton kwake nchin kenya, na kumwachia maumivu makali yasiyoelezeka kwake yey na ndugu na jamaa zake wote (mashabiki wa kikunya)