Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Black Rhino Academy Karatu 👇
black-rhino_289.jpg
FB_IMG_1678804704629.jpg
3E9C2CA37559536F228BEE9887C49B04.jpeg
FB_IMG_1678804726713.jpg
9FF23659E5E739EDB1D30D75B7EC98B0.jpeg
20220125_111013.jpg
DJI_0079.jpeg
IMG_4387.jpg
Wachana na hayo majengo ya wakoloni huko kwenu.. njoo uone vile modern buildings za mashule vile hukaa NairobiWalker
 
Namna ambavyo British imewakalia chapati Wakenya Mungu anajua, babu zenu walipigana MAUMAU bure, your minds are still in colonial chains.
Huyo mkenya ni wa hovyo kupita hovyo yenyewe, kazidiwa battle anaanza ku praise wazungu, kuona ni kuamini kila mtu kaona humu kwamba Kenya kwenye shule bado sn kujilinganisha na Tz.
 
Zimewekwa shule zaidi ya 200 humu kutoka Tz, lkn wao wanaweka kashule kamoja wanajificha, baadae mtu anaweka tena kashule kale kale, sasa hiyo ni battle au upuuzi.
Tunahesabu shule walizoziweka. Haki ya Mungu wakenya ni waoga kweli. 🤣 🤣 🤣 Na wanajua tumewakalia kooni hawwawezi pumua. Nawasubiri tu wafikishe walau shule kumi na tano. Nifungulie bomba
 
Huyo mkenya ni wa hovyo kupita hovyo yenyewe, kazidiwa battle anaanza ku praise wazungu, kuona ni kuamini kila mtu kaona humu kwamba Kenya kwenye shule bado sn kujilinganisha na Tz.
Unajua kati ya vitu napenda kwenye hii battle ni fact kwamba kila kitu Wakenya wanachodhani au waliamini wako juu yetu wakileta ubaoni wanapigwa upper cuts za kutosha, tena sio kwa stories bali kwa ushahidi makini kabisa. To be honest kwenye shule hata mimi nimestuka, sikujua Bongo tuna shule kiwango namna hii. Wazee waliopambana na hii battle mmetuheshimisha sana. My dear neighbors, the Giant is awake heading to his mighty sit, mpishe wenyewe au mtolewe kwa nguvu. Kazi kwenu.
 
Back
Top Bottom