Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakituona tumekaa kimya wanadhani wapo juu yetu. Wakenya kichwani hawana akili.
kichaa mmoja kauliza eti chemistry wanasoma kwa kiswahili? 😂😂 na yupo humu jf ni expert member kabisa lakini haijui Tanzania mpaka leo, sijui wanatuchukuliaje, wanayo Tanzania yao kichwani ndogo kama akili zao ndio wanatumia kujifariji, nina imani wengi hawajategemea kama hizi shule tulizoapload humu zipo Tanzania 😂😂😂wana mentality watoto wote wa matajiri Tanzania hupelekwa Kenya kufuata elimu bora 😂😂😂
 
Zimewekwa shule zaidi ya 200 humu kutoka Tz, lkn wao wanaweka kashule kamoja wanajificha, baadae mtu anaweka tena kashule kale kale, sasa hiyo ni battle au upuuzi.
wasiwe na wasiwasi bado zipo shule nyingi 😂😂😂😂 Yaani 1:20 wiano wakiweka 1 tunaweka 20 na bado hawatukuti 😂😂😂
 
Thaqaafa Secondary School Mwanza - Gallery

images (23).jpeg
images (31).jpeg
images (24).jpeg
images (25).jpeg
images (28).jpeg
 
Achana na Egypt tunazungumzia Kenya na Tz, kwenye hiyo ramani inaonesha Kenya kuna maskini wengi kuliko Tz na ukiangalia uhalisia pia iko hvyo hvyo.
So kuhusu Egypt kuwa na idadi nyingi ya masikini kuliko Tanzania kwenye hiyo map haina 'uhalisia'?

Mibongola kwa kujiliwaza hamjambo
 
Anaweka Buguruni anaita ilala, alafu anajifariji anaijua Tz

By the way, ameweka picha ya 2014 hata Magufuli hajaingia madarakani, yn enzi zile wanaturingia na flyover za tofali
Hebu tuwekee picha za Ilala za 2023 tuone basi. picha tano hivi si mbaya 😂
 
Unajua kati ya vitu napenda kwenye hii battle ni fact kwamba kila kitu Wakenya wanachodhani au waliamini wako juu yetu wakileta ubaoni wanapigwa upper cuts za kutosha, tena sio kwa stories bali kwa ushahidi makini kabisa. To be honest kwenye shule hata mimi nimestuka, sikujua Bongo tuna shule kiwango namna hii. Wazee waliopambana na hii battle mmetuheshimisha sana. My dear neighbors, the Giant is awake heading to his mighty sit, mpishe wenyewe au mtolewe kwa nguvu. Kazi kwenu.
Mara ya kwanza mwaka juzi walileta hii battle tukawachakaza vibaya wakakimbia lkn ujinga wao ni kwamba huwa wanajizima data zen wanaanza tena taratibu kuongea kuhusu shule. Hawa wapuuzi hata battle ya hospitali walishindwa vibaya sana
 
Back
Top Bottom