Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Baobab Secondary School​

AF1QipMePDbMIYevUMfVat-qAoL6pqba8aqbM0GRQH-t=s1360-w1360-h1020


AF1QipOodRxkORjtnt8SUU37xTaON_vfsEizx9W_0aRe=s1360-w1360-h1020


AF1QipOAMfkKRbh1heL5FPZ0RwkIu0vmiua8ac2WF3NQ=s1360-w1360-h1020


1780686_361081787362989_1617344106_n.jpg
 
Chapati ni lugha yenu?
Hata neno "Biology" limetokana na maneno ya Kigiriki "Bios" and "logos" lakini ni neno la Kiingereza.
Kwenye somo la Kiswahili, topic ya Lugha, subtopic ya "Sifa za lugha" kuna point inasema, "Lugha hukua (Language expands)
Njia mojawapo ya lugha kukua inaitwa "UKOPAJI WA MISAMIATI KUTOKA KWENYE LUGHA NYINGINE"
Kiswahili ni lugha kwa hiyo ina hiyo sifa ya kukopa maneno kutoka lugha nyingine
Duka- Kihindi
Dunia- Kiarabu
Pesa- Kireno
Korosho- Kireno
Kitabu- Kiarabu
Sketi- Kiingereza
Fegi- Kiingereza
Na maneno mengine mengi. Sijui umeelewa?
 
Hata neno "Biology" limetokana na maneno ya Kilatini "Bios" and "logos" lakini ni neno la Kiingereza.
Kwenye somo la Kiswahili, topic ya Lugha, subtopic ya "Sifa za lugha" kuna point inasema, "Lugha hukua (Language expands)
Njia mojawapo ya lugha kukua inaitwa "UKOPAJI WA MISAMIATI KUTOKA KWENYE LUGHA NYINGINE"
Kiswahili ni lugha kwa hiyo ina hiyo sifa ya kukopa maneno kutoka lugha nyingine
Duka- Kihindi
Dunia- Kiarabu
Pesa- Kireno
Korosho- Kireno
Kitabu- Kiarabu
Sketi- Kiingereza
Fegi- Kiingereza
Na maneno mengine mengi. Sijui umeelewa?
Hawezi kuelewa huyo nyang'au😂
 
Sasa unapingana na history? Nimekuambia Kiswahili sio lugha ya Tanzania, it's just a collection of borrowed words confusedly combined together to form a rhyming sound.
Ninapingana na hiyo ya kwamba Kiswahili kilianza na waborani na hizo kabila zingine za hapo Kenya kwasababu lazima huyo aliyehusika kuchangia hiyo taarifa atakua ni mkenya.



Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Hawa watu wako na shida kweli
Huyo mtanzania alichoweka na "quote" ya wikipedia, ambayo lazima wanetunia "source" ya Kenya.

Sikilizeni ninyi wakenya, Kiswahili kilianzia katika pwani ya madhariki ya Afrika, lakini Kiswahili Sanifu ni like Cha (Unguja), ndicho kilichokubaliwa kimataifa, Sasa hicho chenu, endeleeni kubaki nacho ninyi wenyewe, lakini duniani Kiswahili kinachokubalika kufindushwa katika vyuo mbalimbali ni "Kiunguja".

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
So mzungu anakuchagulia lugha yako? Yet you were here talking about utumwa?
Yeye hajatuchagulia, ila aliitisha mkutano wa wawakilishi wa watu wote wanaozungumza Kiswahili, Ili wakubaliane ni Kiswahili kipi kiwe ndicho kiwe rasmi duniani, ndipo Kiswahili Cha Kiunguja kilipokubaliwa na "stakeholders" wote. Muingireza alikua ni "Facilitator only".

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Hot air and wild goose chase.......shule ni 5k only hiyo tanzania yenu mzima....lol......unatumia nguvu nyingi
 
Back
Top Bottom