Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Inside of a bus on Nairobi streets.
20230301_223714.jpg
 
Bila shaka kila mmoja ana mtazamo wake kuhusu ni jiji gani bora kati ya Dar es Salaam na Nairobi. Lakini kwa upande wangu, naomba kuonesha sababu kadhaa kwa nini Dar es Salaam ni bora kuliko Nairobi. Hapa kuna meza inayoelezea baadhi ya ukweli:

SababuDar es SalaamNairobi
Idadi ya watuZaidi ya milioni 6Zaidi ya milioni 4
UsalamaKuna changamoto, lakini jiji limeimarisha usalamaMatukio ya uhalifu ni mengi sana
MawasilianoKuna mitandao ya simu bora na gharama za mawasiliano ni nafuuGharama za mawasiliano ni ghali sana
UsafiriKuna mabasi yaendayo haraka (BRT) na usafiri wa umma ni wa uhakika zaidiUsafiri wa umma ni wa changamoto
BiasharaKuna bandari kubwa na shughuli za biashara ni nyingiBiashara ni ndogo
UtaliiKuna fukwe nzuri, vivutio vya kihistoria na utalii wa ndani ni mzuriUtalii mdogo sana na vivutio vya kihistoria ni vichache sana
Kwa ufupi, Dar es Salaam ni bora kwa sababu ina idadi kubwa ya watu, usalama umeimarishwa, mawasiliano ni rahisi na ya bei nafuu, usafiri wa umma ni wa uhakika, bandari ni kubwa na shughuli za biashara ni nyingi, na kuna vivutio vingi vya utalii
 
Huyo alikuwa anakataa SGR kujengw
Waganda wameona fursa baada ya ujenzi wa SGR kutokea Dar to Mwanza kwasababu mizigo yao itakuwa inafika mapema inaingia kwenye meli siku hiyo hiyo na kusafirishwa hadi Port Bell Uganda.

Kutokea Dar treni itatumia masaa manane 8hrs kufika Mwanza. Kwahiyo utaona hapo wanakuwa wameokoa muda wa mizigo yao kukaa barabarani ikisafirishwa ikiwa kama wangetumia malori.

Kwenye biashara au kazi ukishaweza kuokoa muda ambao ulikuwa unapoteza bure unakuwa umeweza kukwepa hasara au unaongeza faida kwa kuutumia huo huo muda kufanya hiyo kazi au kazi nyingine zaidi ya hiyo.

Kwahiyo reli haitaleta hasara bali faida kwa uchumi wa nchi na kwa Watanzania kwa ujumla.

a na mwenda zake ila kwa ssh ni sawa huyo ni kitumbua+maandazi
 
Kama zipo vimejengwa miaka isiyozidi 2 nyuma,pale KIA Kwa nini wanakimbilia Nairobi?

May be kampuni kubwa ziko kwao ndio maana uhakika wa ndege za mizigo ni Kenya..

Mwisho naomba swali la hili jibu,Kwa nini Madini ya Tanzanite yanatoroshwa Kenya? Kwa nini wafanyabiashara hawataki kuuzia Tanzania?
Zimejengwa muda tu boss, baadhi bado wanaenda Nairobi, na ni sababu za kibiashara, wengine wana mikataba na airlines hasa KQ na zinawapa VERY LOW FREIGHT RATE. Unajua tofauti ya $0.50 kwenye mizigo ni kubwa sana, na ndio maana Serikali inafanya juu chini tuwe na Freighter hapa tu-cut the bull shit.

Kuhusu Tanzanite kutoroshewa Kenya nayo ni business decision tu, wanajua wakiyapitishia Kenya ukiacha import duty wanayolipa kuingiza, hawatalipa mrahaba na other export taxes wakati wanayaexport since Kenya hana Tanzanite so legally hawawezi kuyacharge export taxes.

NB: Import Duty is a bit less compared to mirahaba na other export taxes, so ni mchezo wa numbers tu.

Tuipende nchi yetu, tusikubali kuchezewa, we have millions potential ndio maana tukitight strings and rise our bars majirani wakora wakora wananuna because they used to ride on the elephant and now the elephant is riding on them.
 
Moja ya Rais Zombie kuwahi kuwa nae Tanzania. Sidhani kama 2025 tutarudi na huyu serial failure. Dizain wanamjaza ujinga wamkamue 2025.

She does not have the necessarily mental capacity for intellectual independence, so she relies heavily on advice and this is a big mistake for a leader.

Magufuli used to say this, "No one tells me what to do" because he was a leader.


Chief hakuna sababu ya kumtukana Rais, hizi tabia waachie Wakenya ndio wamezoea huu ushenzi, hata sisi wengine hatukumkubali sana kipenzi chako JPM kwenye some issues lakini huwezi kuona tunamtusi na kumkosea adabu, tukimkosoa tunamkosoa kama binadamu na mapungufu yake. Tafadhali sana Komredi tulinde image yetu.
 
Back
Top Bottom