Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,881
- 103,745
Hana hio akili wala exposure unapoteza muda.Mkuu, ndio sababu nikakuambia waulize wafanyabiashara wakubwa ambao wanakwenda Kenya kuwekeza, hao ndio wanaowajua wakenya, wewe hujawahi kuwa mfanyabiashara mkubwa ambaye unaweza kuwa tishio kwa wafanyabiashara wa Kenya, wewe uliajiriwa na kufanya kazi na wakenya.
Wewe unachanganya kati ya utendaji kazi wa wakenya na Kenya kuwa ni nchi inayoruhusu biashara huru, hivi ni vitu viwili tofauti kabisa. Wewe ulifanyakazi na wakenya, kwahiyo unawajua vizuri utendaji wao wa kazi ukilinganisha na watanzania, lakini hujawahi kwenda Kenya kuwekeza, huko hukujui vizuri, wanaowajua vizuri wakenya katika uwekezaji ni
1)Serikali ya Uganda
2) Rostam Aziz
3)Aliko Dangote
4)Mo Dewji
5) Bakhresa
Waulize watakujuza vizuri.
Kuhusu kuondoa vikwazo vya biashara, Hilo kwa wakenya Wala lisikupe matumaini yoyote, hakuna vikwazo vyovyote vya biashara kati ya Kenya na Uganda, lakini Kenya wanaamua tu kuzuia bidhaa za Uganda bila kufuata taratibu za makubaliano.
Mkuu jipe muda vizuri wa kuwajua wakenya, usifurahie maneno na maandishi Kama hayo ya kwenye magazeti, inapofika kwenye utekelezaji, wakenya wanaangalia maslahi Yao, kamwe hawajali Kama kulikua na makubaliano yoyote, Kenya ni "man eat man society", never trust them.
Wewe tuusan Wacha ujinga, niliamua kuachana kujibishana na wewe zaidi ya miezi 6 baada ya kugundua wewe sio mstaarabu.
Ninashangaa Leo ghafla umeamua kujibu post yangu ambayo ilikua haikuhusu nilimjibu mtu mwengine, nilitegemea utaijibu kwa staha na ustaraabu, lakini umejibu kihuni na kutumia maneno ya kishenzi.
Kwahiyo ukinijibu kihuni, Mimi nitarudisha kwa mama yako, lengo ni kukulazimisha ujiheshimu, Kama unavuta bhangi zako, acha kabisa kunihusisha ujinga wako, Jiheshimu.
Yani twitter wanalia hawa jamaa wanawivu bro acha kabisa wana roho mbaya ya ajabu yani rostam amekua gumzo kenya nzima mpaka kwa watoto wanaozaliwa sasa hvi😆😆😆😆😆😆😆😆
Mbona mnaona Tanzania investors kuwekeza Kenya ni a big deal? Tangu ukoloni kuna wazungu wenye hela ndefu kuliko ata huyo bahkresa wameinvest huku and they reaping huge margin profits back to Europe on the expense sisi waafrica kufungiana borders.Hawa jamaa wanaogopa kuruhusu matajiri wakubwa wa kibongo kuwekeza uko kwao kwasababu wanajua kitakachofuata ni kuwatawala, vikampuni vyao ni vile vingii uchwara uchwara sasa wakiruhusu kampuni kubwa za Tz zitie miguu nchini mwao vikampuni vyao vyote vitajifia. Imagine Bakhresa akaweke plant ya unga kubwa na vinywaji hapo kwao kuna kampuni Gani ya kutunishiana misuli na Mwamba kwenye sector hiyo.?
Mnajisikia vibaya kwa sababu the investment is from Tanzania. Had it been from somewhere else mgekuja hapa kuusifia huu mradi but on the contrary you are all quiet or rather keeping a low profile.Wivu ni nyinyi mko nayo. Yaani mkenya asikie vibaya juu bei ya gas itapungua?
Unajua kwamba Kenya ndo wanaongoza kwa remittances na Business ya Nala Money ni remittance based , sasa kama kenya wanapata Remittance kubwa kuliko tourism at 4Bn usd last year while tourism kwao ni 2.1bn usd (2022)hauoni kama Nala money wana take adavantage of that ?Inshu ya NALA inatuacha uchi sana waTz, ukisikiliza interview nyingi za Benji Fernandes huwa always analalamika vile sisi kama nchi tuko nyuma sana ki Teknolojia hasa hizi FINTECH, imagine ameenda kuifanya Nairobi iwe makao makuu ya NALA badala ya Dar es Salaam kwa sababu ya market forces including sisi kuwa nyuma kwenye masuala hayo, na ile ni startup still anahitaji wawekezaji zaidi kwenye kampuni yake, in Eest Africa ni Burundi tu ndiyo tumewashinda, huwa nasikitika sana humu kuona waTz wenzangu wanafanya arguments based on propaganda na siyo reality.
Kuhusu Rostam Kuweka Mtambo wa Gas KenyaInshu ya NALA inatuacha uchi sana waTz, ukisikiliza interview nyingi za Benji Fernandes huwa always analalamika vile sisi kama nchi tuko nyuma sana ki Teknolojia hasa hizi FINTECH, imagine ameenda kuifanya Nairobi iwe makao makuu ya NALA badala ya Dar es Salaam kwa sababu ya market forces including sisi kuwa nyuma kwenye masuala hayo, na ile ni startup still anahitaji wawekezaji zaidi kwenye kampuni yake, in Eest Africa ni Burundi tu ndiyo tumewashinda, huwa nasikitika sana humu kuona waTz wenzangu wanafanya arguments based on propaganda na siyo reality.
Data ya 2015Hizi hapa ni nchi kumi bila hata kuhesabu the tourism Giants of North Africa. Wewe leta University kumi amabazo zina specialize on Tourism and Hospitality pekee.
![]()
Hakuna maswala ya kuniuliza hapo,soko la Kenya ni kubwa kuliko la Tanzania,pia Tanzania kampuni ziko nyingi za LPG na huyo Rostam ana facility ilizinduliwa na Mwendazake nakumbuka.Napenda watu ambao hutoa objective views kama wewe bila kuweka personal biases na emotions. Same thing na Rostam kuweka his biggest plant Kenya badala ya Tanzania. Haya ni maswali ambayo Watanzania yafaa wakue wanajiuliza badala ya kujipiga vifua.
Kenya Ina users wengi wa LPG kuliko Tanzania despite Tanzania kuwa producer wa LPG. Alafu sijui hiyo data ya kampuni za gas kuwa nyingi Tz umeitoa wapi. Anyway, kilicho cha maana ni quantity of gas consumed sio number of companies providing the gas.Hakuna maswala ya kuniuliza hapo,soko la Kenya ni kubwa kuliko la Tanzania,pia Tanzania kampuni ziko nyingi za LPG na huyo Rostam ana facility ilizinduliwa na Mwendazake nakumbuka.
Taifa gas imeanza kitambo mwaka 2005,aliozindua Pres Magufuli kule kigamboni ilikua 2019 mradi wa Tsh 150BHakuna maswala ya kuniuliza hapo,soko la Kenya ni kubwa kuliko la Tanzania,pia Tanzania kampuni ziko nyingi za LPG na huyo Rostam ana facility ilizinduliwa na Mwendazake nakumbuka.
Same lines nikiandika mm natukanwaUnajua kwamba Kenya ndo wanaongoza kwa remittances na Business ya Nala Money ni remittance based , sasa kama kenya wanapata Remittance kubwa kuliko tourism at 4Bn usd last year while tourism kwao ni 2.1bn usd (2022)hauoni kama Nala money wana take adavantage of that ?
Sisi Tz Remittance last year ni 500mil usd
Sababu za Remittance kuwa ndogo ni Tz
1. Kenya wanaruhusu Dual Citizenship Tz hairuhusu
2.Wakenya wako nje wengi kuliko wa Tz
Issue sio hio kwamba angeweka HQ Tz cause hamna Tech, ki Techonoligia aseme Tech gani kaikosa Tz na ameifwata Kenya , its is purely business reason , kama Business Ya remittances ingekuwa kubwa Tz na anaona tuna lack Tech angeiweka Tz na Ku employ Kenyans if he thinks that way.
But i think Nala is in Kenya cause Kenya gets 8x remittances Than Tanzania
NairobiWalker



Na ndicho Fostam kafuata huko Kenya maana ukweli ni kwamba middle class Kenya ni kubwa kuliko Tanzania..Kenya Ina users wengi wa LPG kuliko Tanzania despite Tanzania kuwa producer wa LPG. Alafu sijui hiyo data ya kampuni za gas kuwa nyingi Tz umeitoa wapi. Anyway, kilicho cha maana ni quantity of gas consumed sio number of companies providing the gas.
Geza UloleNa ndicho Fostam kafuata huko Kenya maana ukweli ni kwamba middle class Kenya ni kubwa kuliko Tanzania..
Watzn wengi ni maskini huu ni ukweli mchungu just imagine kujaza mtungi mdogo wa 18,000-23,000 ni tatizo na Bado tunatumia 90% mkaa ,gas na umeme Huwa ni Kwa dharula tuu.