Hukatazwi kujibu, unapaswa utumie lugha ya staha, lete hoja ujibu hoja, Sasa ukianza kutumia maneno ya dharau, lazima yarudishwe kwa mama yako, Kama unadhani maneno uliyotumia ni mazuri, mbona yakirudishwa kwa kutumia anuani ya mama yako unakadirika?.
Kwa mfano nikisema mjinga ni mama yako hutokasirika?, kwamba aliyekosa adabu ni baba yako unajisikiaje?. Lini nikikuambia Mimi ni mzalendo, nani anayethinitisha uzalendo wa mtu?,.
Wewe Jenga hoja utajibiwa kwa hoja, ukileta maneno ya ajabu ajabu, tutayafunga katika vifurushi na kutumia mama yako, utayakuta huko, sawasawa?