Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Napenda watu ambao hutoa objective views kama wewe bila kuweka personal biases na emotions. Same thing na Rostam kuweka his biggest plant Kenya badala ya Tanzania. Haya ni maswali ambayo Watanzania yafaa wakue wanajiuliza badala ya kujipiga vifua.
Hili ndio jibu rahisi kua muta import gas from tanzania so rostam anachofanya ni kujenga na kuboresha export ya gas from tanzania to kenya kwa asilimia 100 na sasa mumshukuru rostam kaja kuwapa nafuu kenya 😆😆😆
 
Napenda watu ambao hutoa objective views kama wewe bila kuweka personal biases na emotions. Same thing na Rostam kuweka his biggest plant Kenya badala ya Tanzania. Haya ni maswali ambayo Watanzania yafaa wakue wanajiuliza badala ya kujipiga vifua.
Kwasababu kai favor shit hole ndio maana unaona yuko objective au sio? Nyie Wakenya ni wapumbavu sn.
 
Napenda watu ambao hutoa objective views kama wewe bila kuweka personal biases na emotions. Same thing na Rostam kuweka his biggest plant Kenya badala ya Tanzania. Haya ni maswali ambayo Watanzania yafaa wakue wanajiuliza badala ya kujipiga vifua.
Nakumbuka mika 3 nyuma mulimkatalia bakhresa asiekeze kiwanda cha unga mombasa kwasababu angeua viwanda vya kenya na mmoja yao alikua mombasa maize millers ambayo owners ni bashamakh walieenda mpaka bungeni kupinga 😆😆😆
 
Napenda watu ambao hutoa objective views kama wewe bila kuweka personal biases na emotions. Same thing na Rostam kuweka his biggest plant Kenya badala ya Tanzania. Haya ni maswali ambayo Watanzania yafaa wakue wanajiuliza badala ya kujipiga vifua.
Huwa ninakushangaa Sana wewe na wenzako wakenya jinsi mnavyotumia ubongo wenu.

Wakenya wanewekeza zaidi ya makampuni 524 huku Tanzania, yenye thamani ya $1.7B, hiyo mnaona ni ufahari kwenu kwamba kampuni zenu zinanguvu Sana, Sasa unataka tujiulize kwanini Rostam amewekeza only $200M, kwamba Hilo ni tatizo, lakini wakenya waliowekeza $1.7B, hilo sio tatizo kwa Kenya hampaswi kujiuliza, hivi ninyi mna akili kweli?
 
Napenda watu ambao hutoa objective views kama wewe bila kuweka personal biases na emotions. Same thing na Rostam kuweka his biggest plant Kenya badala ya Tanzania. Haya ni maswali ambayo Watanzania yafaa wakue wanajiuliza badala ya kujipiga vifua.
😆😆😆😆 na sio taifa gas pekee mpaka lake gas nimemkuta kenya

 
Inshu ya NALA inatuacha uchi sana waTz, ukisikiliza interview nyingi za Benji Fernandes huwa always analalamika vile sisi kama nchi tuko nyuma sana ki Teknolojia hasa hizi FINTECH, imagine ameenda kuifanya Nairobi iwe makao makuu ya NALA badala ya Dar es Salaam kwa sababu ya market forces including sisi kuwa nyuma kwenye masuala hayo, na ile ni startup still anahitaji wawekezaji zaidi kwenye kampuni yake, in Eest Africa ni Burundi tu ndiyo tumewashinda, huwa nasikitika sana humu kuona waTz wenzangu wanafanya arguments based on propaganda na siyo reality.
Me nadhani Benjamin kafanya uamuzi huo kwa sababu za kibiashara na sio sababu za Kitechnolojia. Ni technolojia ipi ambayo hatuna kiasi cha kumpeleka Nairobi? Yeye kaona kuwa wateja wake wengi wako huko na sababu ya Kenya kuwa na diaspora nje ya nchi tuliishazungumza humu, njaa ikiwa ni moja wapo ya sababu ndio maana watu wanakimbia kwao. Hii naomba tuelewane kabisa.
 
Hawa jamaa wanaogopa kuruhusu matajiri wakubwa wa kibongo kuwekeza uko kwao kwasababu wanajua kitakachofuata ni kuwatawala, vikampuni vyao ni vile vingii uchwara uchwara sasa wakiruhusu kampuni kubwa za Tz zitie miguu nchini mwao vikampuni vyao vyote vitajifia. Imagine Bakhresa akaweke plant ya unga kubwa na vinywaji hapo kwao kuna kampuni Gani ya kutunishiana misuli na Mwamba kwenye sector hiyo.?
 
Huyu analeta gesi kwa meli zake mwenyewe! hamna mtu anamweza East Africa!

Mm sikukatalii lakini haina kwamba hana wapinzani wa lpg tanzania na najua ushindani ni mkubwa sana juzi nimeona mpaka puma nae kaingia kwenye hio business nimeona mitungi yake all in all ukiangalia kwa jicho la karibu utagundua hata pipeline ya gas ya kutoka dar tanga to mombasa tayar tutakua na mwekezaji wakitanzania huko ameshafika akisubiri mradi huo mkubwa
 
Mm sikukatalii lakini haina kwamba hana wapinzani wa lpg tanzania na najua ushindani ni mkubwa sana juzi nimeona mpaka puma nae kaingia kwenye hio business nimeona mitungi yake all in all ukiangalia kwa jicho la karibu utagundua hata pipeline ya gas ya kutoka dar tanga to mombasa tayar tutakua na mwekezaji wakitanzania huko ameshafika akisubiri mradi huo mkubwa
Ni kweli ila mwenye tanker ana mileage kubwa kwenye hii sector na yupo mbioni kununua Tanker nyingine! Hivi Bakhresa ana tanker?
 
Back
Top Bottom