Nchi yenye watu masikini ni ile yenye watu wanaolala njaa. Lack of food ndio anchor ya umasikini.Nchi yenye watu masikini zaidi hapa EA wanajulikana vizuri sana
Nchi yenye watu masikini ni ile yenye watu wanaolala njaa. Lack of food ndio anchor ya umasikini.Nchi yenye watu masikini zaidi hapa EA wanajulikana vizuri sana
Atabisha na hiyo more than 40% Kenyans are living in poverty.Hahahahaha source World Bank.
Ukiendelea kubisha naendela kuleta information. Check kenya ipo wapi hapo.
View attachment 2524754
Bado anataka statistics au data tumpatie?Leo mpaka maji uyaite mma. Most poor countries in the World
View attachment 2524756![]()
Poverty Rate by Country 2026
Comprehensive overview of the poverty rate by country measured as the percentage of the population living below the national poverty line, including what is number one country in poverty.worldpopulationreview.com
Per capita ipi hiyo? Au unazungumzia per capita wakati sh iko 99 to the US dollar? Hiyo per capita unayoijua wewe then sasa deduct 30% ndio unapata your current per capita.Hizo data zenye hutaki ndio zinaonyeshwa ukweli on the ground. Per capita tunawazidi, HDI tunawazidi, poverty index tunawazidi, yani nyinyi ni vijimaneno vijimaneno tu ya kujiliwaza na kutaja njaa after every two minutes. Njaa iliyopo Kenya ni kutokana na ukame, a natural occurance, sio kwa sababu watu wa hayo maeneo are living in extreme poverty







Wanapoteza muda rwanda hakuna deal yoyote ya maana![]()
BALOZI wa Tanzania nchini Rwanda, Richard Mutayoba na Balozi wa Rwanda hapa nchini, Charles Kalamba wamekutana kujadili wananchi wao wanavyoweza kunufaika na fursa mbalimbali za kimaendeleo na kiuchumi zilizomo maeneo yao.
Mkuu, Rwanda ni wanunuzi wazuri wa Michele wetu, watumiaji wa bandari ya Dar, wanunuzi wazuri wa cement na tiles za Tanzania, soko zuri la Azam products, kwa ufupi Rwanda ni soko letu zuri Sana.Wanapoteza muda rwanda hakuna deal yoyote ya maana
Umesahau unreliable too!!Mkuu, Rwanda ni wanunuzi wazuri wa Michele wetu, watumiaji wa bandari ya Dar, wanunuzi wazuri wa cement na tiles za Tanzania, soko zuri la Azam products, kwa ufupi Rwanda ni soko letu zuri Sana.
Ukunyani kuna footbridges unachuchumaa kupita! Kama zile za Expressway!Footbridges Kenya
![]()
![]()
![]()
Bongolala, data is given as per current prevailing circumstances. The per capita income of most countries, Kenya and Tanzania included, was last calculated in 2021. During that time, Kenyan shilling was already losing ground against the dollar na bado tuliwashinda by far.Per capita ipi hiyo? Au unazungumzia per capita wakati sh iko 99 to the US dollar? Hiyo per capita unayoijua wewe then sasa deduct 30% ndio unapata your current per capita.
Unaongea na mauchungu and the last time we checked the whole of Dar they were less than ten 😂Ukunyani kuna footbridges unachuchumaa kupita! Kama zile za Expressway!
Dar picha kama hiyo utaona disorganization ya ajabu. Uswazi hovels everywhere you lookRoysambu
![]()
Naongelea raia au wafanyabiashara wa tz kuwa rwanda biashara labda hiyo yaMchele sawa..Mkuu, Rwanda ni wanunuzi wazuri wa Michele wetu, watumiaji wa bandari ya Dar, wanunuzi wazuri wa cement na tiles za Tanzania, soko zuri la Azam products, kwa ufupi Rwanda ni soko letu zuri Sana.
Muthithi rd, this building went from scratch to completion in like 1 year..