Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hahahahaha source World Bank.
Ukiendelea kubisha naendela kuleta information. Check kenya ipo wapi hapo.
View attachment 2524754
@Nicxie Kwahiyo hii data ya WB ya 2023 inayoonyesha 40% ya Kenya vs 20% ya Tanzania pia unaipinga. Jana nilikuambia lete data za hivi karibuni utaona mambo yalivyobadilika Sana, ninyi wakenya bado mnajidanganya na data za miaka ya nyuma, This is a new Tanzania "
 
Evidence yako ipo wapi? Mwanangu? Unaongea utumbo tu.
23m is 49% of your population.
View attachment 2524751
Evidence? Is that all you want? You are very much welcome bongolala
Screenshot_20220501-110859~2.png
 
Tanzania Kuna matatizo Kama ilivyo Kenya na nchi zingine masikini, ila viwango ni tofauti Sana, hata USA Kuna slums, lakini katika kiwango kidogo Sana, Ulaya wapo watu masikini lakini wachache Sana, hizo nchi zote hazipo katika kundi la nchi zenye slums Wala nchi masikini, japo Kuna slums na watu masikini.

Tanzania tunazo slums Kama zilivyo USA, Tanzania Kuna Rushwa Kama ilivyo Botswana, Mauritius na Ghana, tuko na Police brutality kwa kiwango kidogo, lakini hivyo vyote ni kwa kiwango kidogo Sana, hivyo ni haki kusema Tanzania hatuna shida ya Slums, Njaa, police brutality au Tribalism (they are negligible)
Ni mara ngapi hapa watanzania wamekanusha Tanzania, haswa Dar hakuna slums? You people thrive in denial. Ubaya ni kwamba hiyo denial haijawasaidia kwa lolote
 
Kwa hivyo leo Tanzania kuna slums? Mibongolala mnachekesha sana! Leo mnasema hii, kesho mnasema kingine bora muonekane mumeshinda mjadala. Watu hovyo sana
Katika yote aliyosema umeona slums tu, kwnn unaumizwa na ma slums ya huko kwenu kiasi hicho? Nenda kayafute mana wewe si mtaalamu wa kufuta ma slums Google? Usifosi tufanane, ukiingia Google hakuna slums Tz kubali then ishi maisha yako kuliko kulazimisha nyekundu kuwa njano utajipa ulcers bure.
 
Katika yote aliyosema umeona slums tu, kwnn unaumizwa na ma slums ya huko kwenu kiasi hicho? Nenda kayafute mana wewe si mtaalamu wa kufuta ma slums Google? Usifosi tufanane, ukiingia Google hakuna slums Tz kubali then ishi maisha yako kuliko kulazimisha nyekundu kuwa njano utajipa ulcers bure.
Narudia tena bongolala. Living in denial won't save your a**es in anything. I singled out slums coz it's one thing you've constantly denied despite Dar being one big slum
 
@Nicxie Kwahiyo hii data ya WB ya 2023 inayoonyrsha 40% ya Kenya vs 20% ya Tanzania pia unaipinga. Jana nilikuambia lete data za hivi karibuni utaona mambo yalivyobadilika Sana, ninyi wakenya bado mnajidanganya na data za miaka ya nyuma, This is a new Tanzania "
Ni wapi neno World Bank imeandikwa kwenye hiyo screenshot yake? Endeleeni kujifariji na viblogs
 
23 million Kenyans living below poverty line. Can you compare that with 28 million people in your country living in extreme poverty? And please, underline the word EXTREME
You are so stupid, let me give you an exercise to measure your IQ.

1. 2 people out of 10 were injured in an accident occurred on road A.

2. 5 people out of 100 were injured in an accident occurred on road B.

Qn. From the above, elaborate which road has high frequency of accident?
 
Maisha mabaya inapimwa na scientific data bongolala. Si maneno ya kutoa akilini ukishavuta bangi kama unavyofanya hapa. You need to back up your claims with evidence
Data zinasema zaidi ya Wakundustan milioni 6 wanakabiliwa na njaa Sisi Tanzania hatujawahi kufikia level hiyo, hayo ni maisha mabaya kabisa. 6,000,000 ni idadi kubwa sana
Usitake nikuletee per capita income wakati unajua gap kati ya matajiri na masikini ni kubwa sana huko Kundustan kuliko Tanzania
 
Data zinasema zaidi ya Wakundustan milioni 6 wanakabiliwa na njaa Sisi Tanzania hatujawahi kufikia level hiyo, hayo ni maisha mabaya kabisa. 6,000,000 ni idadi kubwa sana
Usitake nikuletee per capita income wakati unajua gap kati ya matajiri na masikini ni kubwa sana huko Kundustan kuliko Tanzania
Hizo data zenye hutaki ndio zinaonyeshwa ukweli on the ground. Per capita tunawazidi, HDI tunawazidi, poverty index tunawazidi, yani nyinyi ni vijimaneno vijimaneno tu ya kujiliwaza na kutaja njaa after every two minutes. Njaa iliyopo Kenya ni kutokana na ukame, a natural occurance, sio kwa sababu watu wa hayo maeneo are living in extreme poverty
 
Hizo data zenye hutaki ndio zinaonyeshwa ukweli on the ground. Per capita tunawazidi, HDI tunawazidi, poverty index tunawazidi, yani nyinyi ni vijimaneno vijimaneno tu ya kujiliwaza na kutaja njaa after every two minutes. Njaa iliyopo Kenya ni kutokana na ukame, a natural occurance, sio kwa sababu watu wa hayo maeneo are living in extreme poverty
Hata India na South Africa zina per capita income kubwa kuliko Tanzania lakini kuna very extreme poverty more than our country.
Sioni faida ya kuwa na uchumi mkubwa unaonufaisha wachache, heri kuwa na uchumi wa wastani unaonufaisha wengi
 
Back
Top Bottom