Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hata India na South Africa zina per capita income kubwa kuliko Tanzania lakini kuna very extreme poverty more than our country.
Sioni faida ya kuwa na uchumi mkubwa unaonufaisha wachache, heri kuwa na uchumi wa wastani unaonufaisha wengi

Hivi kuna extreme poverty inayozidi kupokea misaada ya chakula na kufa njaa?
 
You are so stupid, let me give you an exercise to measure your IQ.
i
1. 2 people out of 10 were injured in an accident occurred on road A.

2. 5 people out of 100 were injured in an accident occurred on road B.

Qn. From the above, elaborate which road has high frequency of accident?
Bongolala, I know you are dumb but let me make it easy for you. 28 million people represents 46.6% of Tanzanians (almost half of your population). And mark you, these are people living in extreme poverty, not moderate poverty.

On the other hand, 23 million Kenyans are living below the poverty line. Compare that with Tanzania where 26 million people live below poverty line. Hii ni ripoti ya serikali yenu sasa sijui mtaipinga aje as you always do to every single report we bring here.

Najua hautaisoma but this is the section they've mentioned poverty line in Tanzania
Screenshot_20230221-105804~2.png

Stop comparing apples with oranges. Nyinyi tumewazidi kila kitu except umasikini uliokithiri
 
Mapambano yanaendelea. Tumeweza kuwaamusha watanzania.
Sasa hatua inayofuata ni kuanza kuwafanya watanzania waanze kutumia uelewa wao na kuweza kufanya uwekezaji mkubwa.

Kupitia thread hii tayari tumeweza kuichangamsha serikali na kuwaonensha Watanzania namna walivyo na uwezo.

Kwa sasa wakenya hawana lolote walichobaki nacho ni malalamiko na kejeli ambazo hazina vichwa wala miguu.

Nawapongeza wote mlioendeleza hii thread wakati mimi sipo.
Nilikuwa mbali na nimebanwa na masomo nchi zingine.

Kwa sasa nategemea kurejea Tanzania hivi karibuni.

ASANTENI
 
Hata India na South Africa zina per capita income kubwa kuliko Tanzania lakini kuna very extreme poverty more than our country.
Sioni faida ya kuwa na uchumi mkubwa unaonufaisha wachache, heri kuwa na uchumi wa wastani unaonufaisha wengi
Nipe ripoti yoyote ya WB, IMF or any other reputable body inayosema kwamba South Africa inazidi Tanzania in extreme poverty. Usiwe unatoa maneno akilini. Hapa tunatumia evidence
 
Ni mara ngapi hapa watanzania wamekanusha Tanzania, haswa Dar hakuna slums? You people thrive in denial. Ubaya ni kwamba hiyo denial haijawasaidia kwa lolote
Hivi unaelewa unaloambiwa au una uwezo mdogo wa kuelewa?, USA ni nchi tajiri au masikini?, Kwani USA hakuna masikini?, Ulishasikia Dunia ikisema USA ni masikini?.

Duniani nchi nyingi Sana Kuna slums, lakini kwa asilimia ndogo Sana, Kama slums au umasikini au crime rate ni ndogo Sana, hizo nchi zinatajwa katika kundi la 1)slums free countries, good example is USA, Tanzania, Australia and Canada
 
Mapambano yanaendelea. Tumeweza kuwaamusha watanzania.
Sasa hatua inayofuata ni kuanza kuwafanya watanzania waanze kutumia uelewa wao na kuweza kufanya uwekezaji mkubwa.

Kupitia thread hii tayari tumeweza kuichangamsha serikali na kuwaonensha Watanzania namna walivyo na uwezo.

Kwa sasa wakenya hawana lolote walichobaki nacho ni malalamiko na kejeli ambazo hazina vichwa wala miguu.

Nawapongeza wote mlioendeleza hii thread wakati mimi sipo.
Nilikuwa mbali na nimebanwa na masomo nchi zingine.

Kwa sasa nategemea kurejea Tanzania hivi karibuni.

ASANTENI
Safi sana Annael, karibu tena kwenye uzi wako.
 
Back
Top Bottom