Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

At least Tanzania hatuna maisha mabaya hivyo [emoji1784][emoji1784]
Maisha mabaya inapimwa na scientific data bongolala. Si maneno ya kutoa akilini ukishavuta bangi kama unavyofanya hapa. You need to back up your claims with evidence
 
Nchi yenye watu masikini zaidi hapa EA wanajulikana vizuri sana
Sisi tunaongea by statistics
Screenshot_20230221-084630.png
 
What's the difference between statistics and data? Alafu eti nyinyi ndio wasomi wa Tanzania humu ndani 😂😂😂😂
Useless to the core!!
Mungu awasaidie tu. Halafu wewe mshamba wa kibera uniulize mimi msomi?
Haya twende taratibu. 146million. Population of Kenya is 50million it means all Kenyans wanakufa na njaa.
Screenshot_20230221-085017.png
 
Mungu awasaidie tu. Halafu wewe mshamba wa kibera uniulize mimi msomi?
Haya twende taratibu. 146million. Population of Kenya is 50million it means all Kenyans wanakufa na njaa.
View attachment 2524739
Bongolala, kama wewe ni msomi then Tanzania has a long way to go. Your arguments here and how you respond to queries say a lot about you and your level of education. If you can't even read to understand your own links how are we supposed to understand you? Your link clearly mentions more than three countries and you are asking me if Kenya has 146 million people. Wewe ni mjinga tu, kubali yaishe!
 
Bongolala, kama wewe ni msomi then Tanzania has a long way to go. Your arguments here and how you respond to queries say a lot about you and your level of education. If you can't even read to understand your own links how are we supposed to understand you? Your link clearly mentions more than three countries and you are asking me if Kenya has 146 million people. Wewe ni mjinga tu, kubali yaishe!
Hahaha??? Nadhani joto unaipata. Kitu ulichoandika hapa ni matapishi. Sisi tunaongelea reality. You writing imaginary things
Screenshot_20230221-085740.png
 
Ni matapishi kwako because it is a bitter pill. Wewe ni mjinga ila utaerevuka tu siku moja
Leo mpaka maji uyaite mma. Most poor countries in the World
Screenshot_20230221-090828.png
 
Kwa hivyo leo Tanzania kuna slums? Mibongolala mnachekesha sana! Leo mnasema hii, kesho mnasema kingine bora muonekane mumeshinda mjadala. Watu hovyo sana
Tanzania Kuna matatizo Kama ilivyo Kenya na nchi zingine masikini, ila viwango ni tofauti Sana, hata USA Kuna slums, lakini katika kiwango kidogo Sana, Ulaya wapo watu masikini lakini wachache Sana, hizo nchi zote hazipo katika kundi la nchi zenye slums Wala nchi masikini, japo Kuna slums na watu masikini.

Tanzania tunazo slums Kama zilivyo USA, Tanzania Kuna Rushwa Kama ilivyo Botswana, Mauritius na Ghana, tuko na Police brutality kwa kiwango kidogo, lakini hivyo vyote ni kwa kiwango kidogo Sana, hivyo ni haki kusema Tanzania hatuna shida ya Slums, Njaa, police brutality au Tribalism (they are negligible)
 
Back
Top Bottom