Fundi kitasa
JF-Expert Member
- Mar 17, 2021
- 2,626
- 7,180
Developers of Ocean Pearl Zanzibar offer property to investors
Squid Limited Zanzibar is developing the facility known as The Ocean Pearl Zanzibar at Nungwi East in the Isles.
Sasa wewe uko na shida ya akili au ni nini, tukisema Kenya Kuna Rushwa Sana, hiyo Haina maana kwamba Tanzania au nchi zingine haiko, tunacholinganisha ni viwango vya Rushwa, Sasa wewe unalinganishaje 50 unclaimed bodies in Tanzania vs 240 bodies of Kenya?So you didn't even open the link uone taarifa ni ya 2022 and you are here writing ten pages and saying nothing. Bongolala, hii taarifa ni ya 2022
![]()
Alone in death: Unclaimed bodies in Tanzania’s mortuaries
There is a growing trend of unclaimed bodies of patients that die in public hospitals without identification or having relatives and guardians to collect for burial as per requirements of...www.thecitizen.co.tz



I asked you to do a very simple thing: to give me any data showing that Tanzanians are living a better life than Kenyans. Hizi vijimaneno peleka Tandale uswazini ukajiliwaze nazo
Ulisema Tanzania hakuna kitu kama hicho and even went ahead to say it's a sign of poverty in Kenya. Now the beats have changed after nimekushika kende! What a poor,bitter soul you are!Sasa wewe uko na shida ya akili au ni nini, tukisema Kenya Kuna Rushwa Sana, hiyo Haina maana kwamba Tanzania au nchi zingine haiko, tunacholinganisha ni viwango vya Rushwa, Sasa wewe unalinganishaje 50 unclaimed bodies in Tanzania vs 240 bodies of Kenya?![]()
Hiyo ndio data yako bongolala? Hiyo taarifa imetaja ni watu wangapi wanaishi chini ya dollar moja kwa siku? Imetaja HDI ni ngapi? Keep digging!![]()
Kenya yakabiliwa na kitisho cha njaa, ripoti
Kenya imejikuta kwenye nafasi ya 94 kati ya mataifa 121 kwenye tathmini mpya ya hali ya njaa ya ulimwengu.www.dw.com
At least Tanzania hatuna maisha mabaya hivyoHiyo ndio data yako bongolala? Hiyo taarifa imetaja ni watu wangapi wanaishi chini ya dollar moja kwa siku? Imetaja HDI ni ngapi? Keep digging!


Huna akili wewe, onyesha wapi nimesema Tanzania hakuna kitu Kama hicho, Wewe ni chizi kabisa.Ulisema Tanzania hakuna kitu kama hicho and even went ahead to say it's a sign of poverty in Kenya. Now the beats have changed after nimekushika kende! What a poor,bitter soul you are!
Hili eneo linaonekana lina watu wababe wanaitumia serikali vitisho kwamba hawaiogopiSerikali ya Kenya inavyodharauliwa



Yenu ni worse, mnaenda kuwa omba ombaRaia wa Kenya wanaongoza kukimbia nchi yao na kwenda uarabuni na Tz kufanya kazi za ndani kuliko raia wa Tz, that alone should tell you something.
Hakuna mtanzania yeyote ataenda nchi nyingine. Watanzania tunajitosheleza.Yenu ni worse, mnaenda kuwa omba omba
Update za DODOMA vipi kaka.?Hakuna mtanzania yeyote ataenda nchi nyingine. Watanzania tunajitosheleza.
Haya majengo hata kule Nyamongo yapo tu.
Nipo huku Dodoma nimebanwa na kazi. Ngoja weekend nitakuwa na nafasi nizungukie. Nitaoleta picha nyingi.Update za DODOMA vipi kaka.?
Model za magari ni ya zamani sana. Unatuonesha namna wakenya walivyo maskini.Thika road. The widest highway in East and Central Africa
![]()
Kwa hivyo leo Tanzania kuna slums? Mibongolala mnachekesha sana! Leo mnasema hii, kesho mnasema kingine bora muonekane mumeshinda mjadala. Watu hovyo sanaHuna akili wewe, onyesha wapi nimesema Tanzania hakuna kitu Kama hicho, Wewe ni chizi kabisa.
Hapa tunalinganisha na kushindanisha Kenya na Tanzania, hivi unajua maana ya kulinganisha na kushindanisha vitu viwili?.
Wacha kujitetea, tunaposema Kenya Kuna njaa, Rushwa, wizi, ujambazi, umasikini, police brutality, ukabila, na slums, Ina maana katika akili yako tunamaanisha kwamba hivyo vitu havipo kabisa Tanzania?, Punguza ujinga.