Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,609
- 15,712
Area code gani hiyo?
Roysambu makes Kariakoo in Dar look like childs playNext to Roysambu is Zimmerman View attachment 2525304View attachment 2525305
Ulishaishaga kazi yake kuokota mapicha kisha anakuwa old stone ageStill under construction na watu wanacheza mpira na kuutumiahii ndio uchafu munawajengea wakenya
And so are most parts of Eastlands. Look at these aerial photos of Umoja for instanceRoysambu makes Kariakoo in Dar look like childs play
Welcome back broMapambano yanaendelea. Tumeweza kuwaamusha watanzania.
Sasa hatua inayofuata ni kuanza kuwafanya watanzania waanze kutumia uelewa wao na kuweza kufanya uwekezaji mkubwa.
Kupitia thread hii tayari tumeweza kuichangamsha serikali na kuwaonensha Watanzania namna walivyo na uwezo.
Kwa sasa wakenya hawana lolote walichobaki nacho ni malalamiko na kejeli ambazo hazina vichwa wala miguu.
Nawapongeza wote mlioendeleza hii thread wakati mimi sipo.
Nilikuwa mbali na nimebanwa na masomo nchi zingine.
Kwa sasa nategemea kurejea Tanzania hivi karibuni.
ASANTENI
Nimeshindwa kutofautisha barabaa na tope kwenye hii picture na uchafu pia huenda umechangia mimi kushindwa kutofautisha
Nmeongea mara nyingi kuwa GDP ni upuuzi mana madeni ya nchi yanaachwa pasipo kutolewa kwenye Assets. Yani kwa lugha nyepesi ni kwamba madeni nayo yanaingizwa kwenye Assets.
Nimeshindwa kutofautisha barabaa na tope kwenye hii picture na uchafu pia huenda umechangia mimi kushindwa kutofautisha
Nimeshindwa kutofautisha barabaa na tope kwenye hii picture na uchafu pia huenda umechangia mimi kushindwa kutofautisha




Majanga matupu. Nchi tajiri lakini ina watu mln 6 ambao ni "nothing to write home about"




Ila makusanyo ya kodi yamepungua japo consumption iliongezeka kwa 900k tonnes WHY?Matumizi ya cement Kwa Tanzania ni 7.8 per year,as spotted in 2022.
Kunyaland mna ngapi huko?
View attachment 2525500
Ati serikali ilipunguza Kodi na pia Kuna mambo ya tax exemption kwenye miradiIla makusanyo ya kodi yamepungua japo consumption iliongezeka kwa 900k tonnes WHY?
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app