Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

The biggest and the busiest port in the region.

Image
 
Hii Dunia ya Mungu hupaswi kujipiga kifua na kujifanya wewe ni Bora na mjuaji kuzidi wengine.

Hiki kinachotokea Kenya ni adhabu ya Mungu kwa Kenya, kuwakumbusha kwamba wao si lolote Ili wapunguze ujinga wao wa kujiona eti ni matajiri.
Mkenya ni mtu ambae yuko tayar kufa njaa na familia yake lakini nje aonekane ana pesa na anahali nzuri ukienda nairobi utakutana na watu wanaishi kibera kwenye makazi ya nguruwe lakini ukiwakita town utawaona wamevaa suti kwenye jua kali 🤣🤣🤣 na mkenya hawez kukupeleka anakoishi hata kwa bunduki
 
Back
Top Bottom