Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tanzania hatupati misaada ya vyakula and other stories.....


Hii tweet yafaa tuihifadhi. Tukiwaambia tofauti yao nasi media zao haziko huru hawaskii. 🤣 🤣 🤣
Utawaskia wakisema Kenya inapokea chakula kutoka nchi za jangwa kumbe wao ndio no. 1. kwa hilo. 🤣🤣
Alafu angalia vijumba vilivyochakaa na sehemu yenyewe sii jangwa.
 
Nenda Saudia kadeki vyoo uongeze remittance Tanzania mbona simple tu 😂😂😂 unataka Watanzania waishi maisha ya kishetani kama wakunya ili tufanane nao kwenye statistics? Kenya ni taifa la kifukara na hakuna chochote mkenya anaweza kufanya ndani ya Kenya akafanikiwa tofauti na ufisadi ndio maana wote wanaenda kufanya kazi za shuruba nje ya nchi ili wasife njaa!
Tanzania kwa miaka mingi tulikuwa tumejifungia, tuliamini na tuliaminishwa na mamalaka zetu kuwa Tanzania is the best! jambo ambalo ni sahihi kabisa. Naungana na wewe tuendelee kuwahamasisha vijana wetu wenye utaalamu wa aina mbalimbali kutafuta kazi zenye heshima na tija nje ya nchi na siyo kwenda kulea wazee na kudeki vyoo uarabuni kama wakunya
 
Hii ni aibu, haiwezekani nchi production ya ndani inadoda sababu human capital yake cream yote iko nje inapambana kukuza nchi za watu. Nchi yenye natural resource za kutosha ni aibu kwenda kufanya kazi kwenye nchi zingine. Brain drain was desgined kwa nchi zisizo na natural resource ambazo zinawekeza kwenye kudevelop its human capital ili kutap opportunities kwenye nchi zenye much natural resources. Let’s Afrika fight this braindrain insteat of embrace it. Mtu anayejisifia huu upuuzi au uchumi wa kichuuzi namna hii namshangaa sana.
miaka ya nyuma Tanzania ilikuwa na upungufu wa human capital lakini sasa hili siyo tatizo! tunao vijana wengi wenye ujuzi mwingi na wala hatuwezi kuwaajiri au kuwapa mitaji ili wajiajiri. Hawa wakienda nje kutafuta ajira/capital ni sawa. Kumbuka wamekopeshwa mkopo wa elimu ya juu ili warudishe.
 
Hii ni nn budaa hvi nyinyi hamuna plan ya kuekeza kitu mukafanya project ikaonesha effect kwa kusaidia mwananchi wa chini kabisa 🤣🤣🤣 munataka mambo makubwa na hamuna uwezo nayo
Public bus ni ya kubeba mwananchi wa kawaida anayelipa ksh 20 to ksh 70 kama fare. Sio ya upper class, well pia hao wanaweza kuzitumia sio restricted... So what's your point.
 
Hii tweet yafaa tuihifadhi. Tukiwaambia tofauti yao nasi media zao haziko huru hawaskii.
Utawaskia wakisema Kenya inapokea chakula kutoka nchi za jangwa kumbe wao ndio no. 1. kwa hilo.
Alafu angalia vijumba vilivyochakaa na sehemu yenyewe sii jangwa.
Huna akili wewe. Kwanza hata Kwa macho yako ukimuangalia yule jamaa ana njaa kweli!? You dumbass!

Pili,ule ni msaada wa mwezi wa Ramadan. Watanzania wanawasaidia watanzania wenzao! Kenya roho zenu mbaya sana huezi elewa hilo!

Tatu, umeona lebo ya WFP au USAID kwenye bidhaa yoyote pale. Kila kitu alichopewa ni locally made brands. Unga ni Azam, mafuta ni Mo, sukari ni Bagamoyo sugar (Azam)

Ila kwa sababu your mental capacity ni ndogo. Najua huezi changanua lolote.

Nyang'au jinga wewe!!!
 
Huna akili wewe. Kwanza hata Kwa macho yako ukimuangalia yule jamaa ana njaa kweli!? You dumbass!

Pili,ule ni msaada wa mwezi wa Ramadan. Watanzania wanawasaidia watanzania wenzao! Kenya roho zenu mbaya sana huezi elewa hilo!

Tatu, umeona lebo ya WFP au USAID kwenye bidhaa yoyote pale. Kila kitu alichopewa ni locally made brands. Unga ni Azam, mafuta ni Mo, sukari ni Bagamoyo sugar (Azam)

Ila kwa sababu your mental capacity ni ndogo. Najua huezi changanua lolote.

Nyang'au jinga wewe!!!
Kunywa maji upumzike bradhee, umeongea na hasira nyingi sana. lazima una stress mob. 🤣
 
He won't last a month with his woke mentality.
We don't want want woke Americans here! Waende Kenya! Or some other shitty African country!
Usinisemee Mimi,naona maharamia wa Vodacom huko mnaanza kutapatapa Ili asije kuleta cheap internet
 
Public bus ni ya kubeba mwananchi wa kawaida anayelipa ksh 20 to ksh 70 kama fare. Sio ya upper class, well pia hao wanaweza kuzitumia sio restricted... So what's your point.
So nn cha ajabu tofaut na matatu yani nataka kujua nn ni cha ajabu sana hapo🤣🤣🤣🤣 manake unavoiongelea as if sio matatu au nimekosea ??
 
Tanzania kwa miaka mingi tulikuwa tumejifungia, tuliamini na tuliaminishwa na mamalaka zetu kuwa Tanzania is the best! jambo ambalo ni sahihi kabisa. Naungana na wewe tuendelee kuwahamasisha vijana wetu wenye utaalamu wa aina mbalimbali kutafuta kazi zenye heshima na tija nje ya nchi na siyo kwenda kulea wazee na kudeki vyoo uarabuni kama wakunya
Ni vizuri kabisa na jambo jema mtanzania akaenda kufanya kazi ya halali popote duniani lakini sio kwa kukimbia Tanzania, iwe ni option yake binafsi na motive isiotokana na shortcomings zinazotokana na corrupted systems kama Kenya, Tanzania saivi vijana wanapewa mpaka hectares 10 na serikali bado zipo opportunities nyingi unaweza kuzitumia endapo utakua mwenye nia, hii ifanye elimu tuliopata inanufaisha jamii sio cream yote ipo abroad nyumbani wamebaki vilaza kama Kenya hata kulima hawawezi wa nasubiri remittances
 
Back
Top Bottom