chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,316
- 45,125
😂😂😂 Halafu mwenye njaa sio mlalamishi haoni huyo jamaa kapewa chakula lakini bado analalamika maana yake hakuwa na tatizo la njaa ila anataka tu kubadilisha mboga 😂😂😂Huna akili wewe. Kwanza hata Kwa macho yako ukimuangalia yule jamaa ana njaa kweli!? You dumbass!
Pili,ule ni msaada wa mwezi wa Ramadan. Watanzania wanawasaidia watanzania wenzao! Kenya roho zenu mbaya sana huezi elewa hilo!
Tatu, umeona lebo ya WFP au USAID kwenye bidhaa yoyote pale. Kila kitu alichopewa ni locally made brands. Unga ni Azam, mafuta ni Mo, sukari ni Bagamoyo sugar (Azam)
Ila kwa sababu your mental capacity ni ndogo. Najua huezi changanua lolote.
Nyang'au jinga wewe!!!



