chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,676
- 45,907
🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Naona vichekesho tu 🤣🤣🤣 kazi yenu ninkupoteza pesa za tazpayers kwenye miradi hewa na isio na kichwa wala mguuBongolala si unasumbuka yani 😂
mradi kama huo ingekuwa ni Tanzania ungisifia na kusema vile Dar ni New York. Lakini kwa sababu iko Nairobi, ni kupoteza pesa ya taxpayers. Uko na shida sana wewe mwarabuNaona vichekesho tu 🤣🤣🤣 kazi yenu ninkupoteza pesa za tazpayers kwenye miradi hewa na isio na kichwa wala mguu
Siwezi sifia miradi ambayo imewazidi kichwa budaa 🤣🤣🤣 yani miradi ukiangalia kwa macho unaona kabisa pesa za tax payers zinakwenda na majimradi kama huo ingekuwa ni Tanzania ungisifia na kusema vile Dar ni New York. Lakini kwa sababu iko Nairobi, ni kupoteza pesa ya taxpayers. Uko na shida sana wewe mwarabu
Are all Tanzanians on JF insane!? You don't know what concept rendering idea is!? A render for développement is picked from many concept renders.🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣hii ndio render hebu tuoneshe just 1% of it sasa hvi na ukumbuke ni over 14 yrs now View attachment 2518560View attachment 2518561View attachment 2518562
Mirad ya Tz haitoki nje ya renda.Are all Tanzanians on JF insane!? You don't know what concept rendering idea is!? A render for développement is picked from many concept renders.
And for a large city, zone concepts are rendered, but specific construction designs are done by the investor who will be building their business although in line with the concept. Tanzanians!!
Hii watajifanya hawajaonaTanzania hatupati misaada ya vyakula and other stories.....
Nipo Kwenye kelele sikusikii!
Who gets more money between Kenya and Tanzania?Kubali nimekupa somo kuhusu rice kuwa raw material yaishe. You didn't know it is but now you know and you should thank me for that!
A raw material is any substance used in the primary production or manufacturing of goods. So iron tunayowauzia is still a raw material if it's used to manufacture another good.
The point was that we sell to you mostly processed (finished) goods wakati nyinyi mnatuuzia unfinished goods kwa wingi.
Hio cruiser ship ndo imeondoka usiku huu kuelekea comoros.. current location yake ndo hii mda huu
Imeondoka leo saa 00:11 UTC ambayo ni sawa na saa 3 dakika 11 usiku huu
View attachment 2518750
Yan kenya imekaa chin ya masaa 10 lkn bongo (zanzibar) imekaa siku mbili tokea usiku wa tar 13 hadi leo tar 15
Pitia vizur, nilimuuliza swal mleta post hajajibu mpk mda huu 😄Kuna picha za hiyo [emoji568] zilipostiwa humu juzi tukitambiwa.