REAL Comrade Kipepe
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 3,238
- 10,923
Unaposema eti wanatuzidi "remittance" sijui wewe unaelewa nini kuhusu rimitens, ndio maana nakushangaa.Hili sio jukwaa la udaku kama haujasoma rudi kwenye thread zako za udaku.
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Wametuzidi rimitens maana yake ni hivi:
"Tanzania ni nchi nzuri sana, yenye usalama, uongozi mzuri na yenye kukizi mahitaji ya raia wake ndio maana idadi ya Watanzania nje ni ndogo sana. Yaani Watanzania hawana sababu za kukimbia inchini kwao kutafuta maisha bora kwingine.
Watu wanakimbia nchi kwa sababu za kiusalama, maisha magumu. Ndio nchi kama Nigeria, Ethiopia, Kenya, na hao Uganda. Yaani wapo huko nje wanafanya vibarua vya kudhalilisha utu na kupeleka hela home"
Sasa wewe nawe ulivyo unavyiojijua wewe, unataka tushindane nao kukimbia Tanzania kwenda kuosha vyombo na kufua nguo Saudi Arabia na kwingineko. Ndio maana tunakuuliza kama wewe ni mzima 😂