Rhaenyra Targaryen
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 879
- 1,040
Kwa lipi sasa? Mnapenda kujitekenya mkicheka wenyewe.Ndio maana ukiwasikiliza watu wanaolalamika hapa Tanzania Huwa siwaelewi na Huwa ninkuwadekeza..
South Toka mwaka Jana hakuna umeme,Nigeria watu wanapanga folenj hakuna mafuta,Egypt huko inflation ni majanga tupu, Kunyaland hapo ni kama imefilisika kabisa.
Tanzania pande zote tuko njema sana mpaka Nchi nyingi zinatushangaa imekuaje kuaje

, Sasa wenzetu wanatumia nguvu kulazimisha na hapaonekani hivyo. Hili sasa ndio jiji Standard. Hata kama kuna fuko la uchafu bado inaeleweka litabebwa muda si mrefu , ila zile taka za wakulungwa zinatengeneza hadi nlima


