Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ndio maana ukiwasikiliza watu wanaolalamika hapa Tanzania Huwa siwaelewi na Huwa ninkuwadekeza..

South Toka mwaka Jana hakuna umeme,Nigeria watu wanapanga folenj hakuna mafuta,Egypt huko inflation ni majanga tupu, Kunyaland hapo ni kama imefilisika kabisa.

Tanzania pande zote tuko njema sana mpaka Nchi nyingi zinatushangaa imekuaje kuaje
Kwa lipi sasa? Mnapenda kujitekenya mkicheka wenyewe.
 
ukiweka picha ya Kibra hakikisha umeupdate hio picha sio kutumia picha za 2005, the area you posted doesn't even exist currently. A very huge part of kibera has been demolished to pave the way for the Langata - Ngong Road dual bypass & the zone B social housing project. Wewe kibera inabadilika bado ukitumia picha za kitambo ati biggest slum.
View attachment 2514224View attachment 2514225View attachment 2514226View attachment 2514227View attachment 2514228View attachment 2514229View attachment 2514231View attachment 2514230View attachment 2514232
Tafuta picha ikionesha hicho kipande kimebomolewa mm nifunge acc jamii forum 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hvi ww unaona himu watu wote wakuja au ??? Unataka kutuaminisha kua kibera slum sio slum number moja duniani au unataka kutuaminisha kutuma picha za render hzo

Kwa lugha fupi ni kibera ni worse slum on planetbyani hakuna slum ya kinyama kama kibera kwasababu maisha ya nguruwe yana nafuu kukiko wakaz wa kibera

Mm nimezunguka tanzanai hii sijawah kukutana na makazi binaadamu na wanyama wanaishi hvi
 
ukiweka picha ya Kibra hakikisha umeupdate hio picha sio kutumia picha za 2005, the area you posted doesn't even exist currently. A very huge part of kibera has been demolished to pave the way for the Langata - Ngong Road dual bypass & the zone B social housing project. Wewe kibera inabadilika bado ukitumia picha za kitambo ati biggest slum.
View attachment 2514224View attachment 2514225View attachment 2514226View attachment 2514227View attachment 2514228View attachment 2514229View attachment 2514231View attachment 2514230View attachment 2514232
Hvi ww hushangai watu maarufu wanatoka america wanakuja kenya kushangaa kibera pekee 🤣🤣🤣 yani mtu maarufu mwenye pesa zake za kutosha anajipa muda kuja kushangaa binaadamu wenye makazi zaidi ya nguruwe na hapo wanakuja kusoma na kuandika vitabu vile binaadamu wa kibera wanavo survive manake hata nguruwe hapi ukimueka lazma afe tu

 
ukiweka picha ya Kibra hakikisha umeupdate hio picha sio kutumia picha za 2005, the area you posted doesn't even exist currently. A very huge part of kibera has been demolished to pave the way for the Langata - Ngong Road dual bypass & the zone B social housing project. Wewe kibera inabadilika bado ukitumia picha za kitambo ati biggest slum.
View attachment 2514224View attachment 2514225View attachment 2514226View attachment 2514227View attachment 2514228View attachment 2514229View attachment 2514231View attachment 2514230View attachment 2514232
Hii ndio maana ya slum sasa 😆😆😆




 
Yaani ukiangalia tu hakuna haja ya Kubisha , Sasa wenzetu wanatumia nguvu kulazimisha na hapaonekani hivyo. Hili sasa ndio jiji Standard. Hata kama kuna fuko la uchafu bado inaeleweka litabebwa muda si mrefu , ila zile taka za wakulungwa zinatengeneza hadi nlima
The fact mnajaribu kulinganisha nairobi na
Sandton na si dar na sandton inaonesha vile mji wenu ni ovyo
 

Attachments

  • jamvilahabarionline_1676125983600626.jpg
    jamvilahabarionline_1676125983600626.jpg
    175.4 KB · Views: 22


FolWDU6WYAAX_zR


FolWDU4XwAA0LRH


FolWDU4WAAQDQfy


FolWDU4WAAA_x-T


Hivi ile ferry ya ukunyani iliyokuwa inaundwa Kisumu, iligotea wapi? Au KDF walishindwa ile kazi pia?
Huku ikitoka Mv Mwanza hapo chelezoni, meli nyingine inaanza kujengwa!

Munafanyia meli repair alafu munataka kujilinganisha na KDF ambao wanatengeneza meli mpya from scratch, Made in Kenya. We mzee huna hata aibu, sisi hatupigipigi machuma na kupaka rangi kama nyinyi. 🤣 🤣 🤣 🤣

Image


Image


Image



Image
 
Munafanyia meli repair alafu munataka kujilinganisha na KDF ambao wanatengeneza meli mpya from scratch, Made in Kenya. We mzee huna hata aibu, sisi hatupigipigi machuma na kupaka rangi kama nyinyi.

Image


Image


Image



Image
Hivi kumbe huo mtumbwi haujaisha tuu

Aki, mm kitu chochote kile kikitengenezwa na Wakenya situmii, kama ni nyumba sikai hata karibu ya jengo, kama ni baiskeli sipandi isije niua bure
 
Hivi kumbe huo mtumbwi haujaisha tuu

Aki, mm kitu chochote kile kikitengenezwa na Wakenya situmii, kama ni nyumba sikai hata karibu ya jengo, kama ni baiskeli sipandi isije niua bure
Unadhani meli ni baiskeli intengenezwa na siku moja. 🤣 🤣 🤣 🤣 Hii ndio reasoning ya wabongo ambao hata baiskeli hamwezi tengeneza.
 
Tea Brands by Empire Kenya EPZ Ltd, the company that shipped branded tea to Australia. The Company specializes in three brands, Akina-With Love from Africa, Thurson Teas and various Specialty Teas. It is situated at Jomvu, Mombasa

Image


Image


Image


Wow the branding is top notch. ❤️‍🔥 Proudly made in Kenya. Tunapatia wabongo mwezi moja waanze kulia eti tunapackage majani yao.🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom