Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa kwa nini viongozi wetu wasitumie hiyo opportunity kuleta viwanda kwa sababu political stability ya Tanzania ni rahisi kupata wawekezaji wawekeze kwenye production ya generator, agricultural tools na kufanya bulk importation of diesels / petrol. Maana tunaweza peleka EAC na SADCC ,

Yaani kuna potential sana kama wanavyofanya Dubai au Guangzhou Kama trade center

Itakua ma multiprier effect kubwa kama source of revenue (taxes) na employemnt kwa watu wengi
Viwanda vitakuja Mzee,ngoja Sasa umeme uwe wa uhakika
 
20230211_210543.jpg
 
South Africa ni sabotage inafanywa na Wazungu kwa muda mrefu sana kimkakati ili watu weusi waonekane hawawezi kuongoza. Sio umeme tu, pia, Wazungu wenye maghala makubwa ya kununulia vyuma chakavu, wamewalipa walalahoi wengi hasa wakati wa Lockdown kungoa mataruma ya reli, na yameng'olewa kisawa sawa pamoja na nyaya za umeme kwenye reli to a point hakuna tena treni toka Johannesburg to Pretoria ukiachia Gautrain.

Ni maswala ya kiintelegensia zaidi.
Wacha kuropoka!
 
Tukipata maviwanda makubwa kadhaa huo umeme ungetumika hapahapa na usitoshe

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Umeme wa uhakika ni "factor" muhimu katika kuvutia wawekezaji, lakini hiyo pekee haitoshi, Kuna mambo mengine yanahitajika yawepo, 1)Human capital, 2) Sera nzuri za nchi kuhusu uwekezaji hasa kuhusu Kodi, 3)Rushwa 4)Ukiritimba 5)Miundombinu ya usafiri na gharama zake, vyote hivyo ni muhimu
 
Najua wote humu tunajua kuhusu Morocco lakini sijui kama tunajua kuhusu new Casablanca au anfa new financial district in the city of Casablanca.. well.. nimekusogezea karibu ujionee mwenyewe vile mataifa yenzetu ya kiAfrica yalivyo serious kwenye projects zao . Take a look 👇. NB nchi zingine ziendelee kupika jidipii zikiota kufika this levels
 
South Africa ni sabotage inafanywa na Wazungu kwa muda mrefu sana kimkakati ili watu weusi waonekane hawawezi kuongoza. Sio umeme tu, pia, Wazungu wenye maghala makubwa ya kununulia vyuma chakavu, wamewalipa walalahoi wengi hasa wakati wa Lockdown kungoa mataruma ya reli, na yameng'olewa kisawa sawa pamoja na nyaya za umeme kwenye reli to a point hakuna tena treni toka Johannesburg to Pretoria ukiachia Gautrain.

Ni maswala ya kiintelegensia zaidi.
Aisee!
 
Sasa kwa nini viongozi wetu wasitumie hiyo opportunity kuleta viwanda kwa sababu political stability ya Tanzania ni rahisi kupata wawekezaji wawekeze kwenye production ya generator, agricultural tools na kufanya bulk importation of diesels / petrol. Maana tunaweza peleka EAC na SADCC ,

Yaani kuna potential sana kama wanavyofanya Dubai au Guangzhou Kama trade center

Itakua ma multiprier effect kubwa kama source of revenue (taxes) na employemnt kwa watu wengi
Kuleta viwanda? Kutoka wapi? Hakuna mjomba, inabidi tujenge wenyewe.
 
Back
Top Bottom