REAL Comrade Kipepe
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 3,600
- 11,516
How naropoka??Wacha kuropoka!
How naropoka??Wacha kuropoka!
Kama wewe unayajua haya kwamba Serikali ya south Africa haiyajui? Kama hawana akili acha wanyolewe
Wacha kuropoka!
Wacha kuropoka!
Mi siropoki ni maswala yanajulikana wazi. Kuropoka kutanisaidia nini kaka?
Ngoja nikupe tu hints, ila kuna mengi sana yanaendelea.
Tuesday 26 July 2022
SA's power stations | Ramaphosa says there's deliberate sabotage
Watu wanalipwa kufanya mambo hayo, inaitaji wendawazimu kudeal nao vyema kama magufuli sio hao crying babies.Sounds like the same script we play in our own country. I wonder who wrote it?
ukiweka picha ya Kibra hakikisha umeupdate hio picha sio kutumia picha za 2005, the area you posted doesn't even exist currently. A very huge part of kibera has been demolished to pave the way for the Langata - Ngong Road dual bypass & the zone B social housing project. Wewe kibera inabadilika bado ukitumia picha za kitambo ati biggest slum.Nimekwambia hvi kibera haiwezi kutoka kwenye orodha ya kua biggest slum in the world haiwezi na haitatoka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] na kwa mtu mwenye akili akiangalia hii picha ndio atajua uwepo wa binaadamu na nguruwe duniani
View attachment 2512815
Mi siropoki ni maswala yanajulikana wazi. Kuropoka kutanisaidia nini kaka?
Ngoja nikupe tu hints, ila kuna mengi sana yanaendelea.
Tuesday 26 July 2022
SA's power stations | Ramaphosa says there's deliberate sabotage
Wale wakunya hujifananisha na SA, angalia sandton palivyo, No proboxes on the roads, neither Jalopies
Hizi picha nimepiga mchana
View attachment 2514130
View attachment 2514131
View attachment 2514132
View attachment 2514133
View attachment 2514134
View attachment 2514135
View attachment 2514136
View attachment 2514137
View attachment 2514138
Mi siropoki ni maswala yanajulikana wazi. Kuropoka kutanisaidia nini kaka?
Ngoja nikupe tu hints, ila kuna mengi sana yanaendelea.
Tuesday 26 July 2022
SA's power stations | Ramaphosa says there's deliberate sabotage
Kazi inaendelea ,awamu ya 6 ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]We ChoiceVariable umerudi toka mafichoni? Kuna id hapa nikiona imepotea baada ya wewe kuja ntajua ndiyo wewe mmiliki wa hizo zote.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] wafuasi wa Mwendazake,ni WA kuwahurumia tuuHayo matokeo ya maamuzi magumu ya Magu, jamaa alikuwa genius.
Rais analia ,nani atachukua hatua?Mi siropoki ni maswala yanajulikana wazi. Kuropoka kutanisaidia nini kaka?
Ngoja nikupe tu hints, ila kuna mengi sana yanaendelea.
Tuesday 26 July 2022
SA's power stations | Ramaphosa says there's deliberate sabotage
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Ruto Kamatia hapo hapo
Kazi inaendelea ,awamu ya 6 ni [emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
South Africa Kuna mgawanyiko mkubwa hususani hii issue Russo-Ukraine War.Ramaphosa yupo sana Urusi wakati majority ya wananchi wake wanaasili ya West na hawawezi kua upande wa Urusi hivyo wanamfanyia subotage ili ang'oke.Kwa South Africa ilivyo inahitaji akili sana kuiongozaSouth Africa ni sabotage inafanywa na Wazungu kwa muda mrefu sana kimkakati ili watu weusi waonekane hawawezi kuongoza. Sio umeme tu, pia, Wazungu wenye maghala makubwa ya kununulia vyuma chakavu, wamewalipa walalahoi wengi hasa wakati wa Lockdown kungoa mataruma ya reli, na yameng'olewa kisawa sawa pamoja na nyaya za umeme kwenye reli to a point hakuna tena treni toka Johannesburg to Pretoria ukiachia Gautrain.
Ni maswala ya kiintelegensia zaidi.
Mabeberu maana ndo wanalaumiwa! Nikisema uropokaji watu wanalalamika!Rais analia ,nani atachukua hatua?