Hiyo ni sababu mojawapo ya kufilisi nchi, lakini sababu kubwa inayosababisha Kenya kufilisika ni kuishi nje ya uwezo wao.
Gharama za kuendesha serikali ya Kenya ni kubwa mno kuzidi uwezo wa nchi Yao, hivi jiulize sababu za msingi kwa Kenya kuwa na mabunge mawili ni ipi hasa?, Kwa uchumi you?.
Hivi kweli uchumi wa Kenya unaweza kweli kulipa MCAs, Senators, Governor's, wabunge, na Mawaziri?. Mshahara wa MCAs Kenya unalingana na WA DC huku Tanzania, mshahara wa Govonor ni zaidi ya mshahara wa rais huku Tanzania