mwathadan
JF-Expert Member
- Dec 1, 2016
- 3,517
- 5,124
Hizi ni vitu obvious tunawashangaa nyinyi watanzania mnashindwa kuelewa simple concepts....eti tunapika data, eti Nairobi haina gari 10m bla bla blaHivi uko na akili kweli?, Punguza ujinga kidogo basi. Rekodi inayowekwa ni kila gari linapopita na linapotizwa pesa, wewe ukipita asubuhi utatozwa pesa, hapo itasomeka gari Moja limepita, ukirudi jioni utatozwa Tena pesa na itasomeka gari lingine Tena limepita, endapo siku hiyo hakuna gari lolote lililopita, katika records zao jioni watahesabu kwamba katika hiyo siku ni gari mbili tu zilipita na mapato yataonyesha ya gari mbili siku hiyo, sio gari Moja.