Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Pika data wawekezaji waongezeke
Hajui kuwa hio ni frequency ya magari yaliyopita hapo, yan gari moja limeweza kupita hapo zaid ya mara 210 (7 months x 30days, hapo kwenda tu bado kurudi 🤪).. au tufanye haya mahesabu, kwa hio idadi ya magari 10m means "kila mtu" nairobi hata muendesha mkokoten ana gari at least mbili, mana nairobi kuna watu chini ya 5 mil au tuseme wanataka kutuambia watu kutoka counties/mikoa mengine zaid ya mil 5 wamepita hapo? Otherwise wawadanganye matenants wenzao wa mama ngina anaeimiliki ardhi ya nchi nzima
 
Sisi tunauzia WFP wao wanapata msaada. Muda wa kuuza mtama
IMG_20230207_164833.png
 
Picha za juu za Kenya umeonyesha Barbara, tena umeweka picha zenye "very close view" Hadi Dereva katika hizo gari anaweza kuonekana.

Hizo za chini ambazo unadai ni Tanzania, huwezi kujua Kama hizo ni nyumba, gari au miti, unaogopa kitu gani kuweka picha zenye "close views" ili tujionee hata Kama ni gari linapita Kama zinavyoonekana gari za hapo Kenya?[emoji23][emoji23][emoji23]
Eti picha 'ninazodai' ni Tanzania?! 😂😂
Wacha nikiwachie hapo
 
Because of easy connectivity, for many years KQ has been the only Airline in EAC, and the fact that Nairobi has many UN and International companies offices, they have no other choices, but JKIA can't even be compared with JNIA in any other aspect apart from big number of passengers, the situation is slowly changing because ATCL is fully functional
What a horrible excuse! As if KQ is the only airline using JKIA. Secondly, ATCL has been functional for I don't know how long! Mbona haijasaidia mabati rolling mills kuongeza passenger numbers? You people are very good at excuses.

About Nairobi having UN offices and many international bodies, it's even good you know it's not in the same league as your glorified fishing village.
 
Hajui kuwa hio ni frequency ya magari yaliyopita hapo, yan gari moja limeweza kupita hapo zaid ya mara 210 (7 months x 30days, hapo kwenda tu bado kurudi 🤪).. au tufanye haya mahesabu, kwa hio idadi ya magari 10m means "kila mtu" nairobi hata muendesha mkokoten ana gari at least mbili, mana nairobi kuna watu chini ya 5 mil au tuseme wanataka kutuambia watu kutoka counties/mikoa mengine zaid ya mil 5 wamepita hapo? Otherwise wawadanganye matenants wenzao wa mama ngina anaeimiliki ardhi ya nchi nzima
It's clearly written 7 million Kenyans. Hawajasema 7 million cars. Ni nini huelewi hapo? Just as you've put it, mtu mmoja anawezapita hapo ten times a day but when compiling data, they'll count it as ten people since they do not capture data of an individual person (bimetric) to know it's the same person who has used it more than once. Pengine mtu ametumia matatu kwenda na kurudi using the expressway. If it's a 14-seater matatu as in most cases, they'll count that as 14 people. If the same 14 people come back using the same matatu, they'll count them as 14 new people. It's the frequency that matters in such data, not individual people.

A very simple concept umetumia povu na hisia nyingi sana kuexplain!
 
What a horrible excuse! As if KQ is the only airline using JKIA. Secondly, ATCL has been functional for I don't know how long! Mbona haijasaidia mabati rolling mills kuongeza passenger numbers? You people are very good at excuses.

About Nairobi having UN offices and many international bodies, it's even good you know it's not in the same league as your glorified fishing village.
Hahahaha, ATCL has been on Business hardly for only 4 years now, only only two routes outside Africa, India and China, while KQ has more than 15 routes outside Africa, do you expect many passengers to connect through Nairobi or Dar, why can't you compare with Bole Airport in Ethiopia whose Airline has as many many routes outside Africa as KQ?.

The only reason why JKIA has bigger number of passengers than JNIA is because of KQ has many routes outside Africa, and bigger number of foreigners in Nairobi. Our Economy doesn't depend on foreigners like you lazy guys.
 
I have followed this matter for a long time. I have noticed that Kenyans are currently living with hope. But this thing they do not see now. They will come to understand after several years that they have lived with their neighbors badly. It will be very difficult for them to have a good relationship with their neighbors
 
Wakunya mnajisikiaje mkiambiwa all this is half the price of chang'aa project? 😂😂😂😂

Eti mnajua English? Mkashindwa negotiations? Elimu yenu ikawasaidiaje? 😂😂 Tanzania na kiswahili chetu tukala bingo 😂😂😂

Vitu kama hivi vinaonesha namna gani kunyaland ni full of dunderheads na elimu yenu ni ya kula visheti tu na mzigo wa kuni! 😂😂😂

FoRpKwkWAAMba4I.jpeg
FoRpKwiXsAAQv3N.jpeg
wizarayaujenzinauchukuzi_1675680866077392 (1).jpg
wizarayaujenzinauchukuzi_1675680866077408.jpg
20230207_154556.jpg
20230207_154559.jpg
20230130_215451.jpg
20221224_135809.jpg
FkFhTiFWQAA5gtK.jpeg
IMG_3663.jpg


🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Screenshot_20220421-132247.png
Fi6PsfiXEBgEag2.jpeg
 
Some of these slums are way better than your uswazi hovels that cover your entire city. Take a look at Kariobangi for instance and compare with your Swahili uswazi hovels

Kariobangi slum View attachment 2509306View attachment 2509307View attachment 2509309

Now compare with your disorganized uswazi sprawls you call middle class areas View attachment 2509313View attachment 2509314View attachment 2509315View attachment 2509316View attachment 2509317View attachment 2509319

There is literally no point adding the suffix 'slum' to places in Dar.
All of it is a slum. 😂 😂
 
Wakunya mnajisikiaje mkiambiwa all this is half the price of chang'aa project? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Eti mnajua English? Mkashindwa negotiations? Elimu yenu ikawasaidiaje? [emoji23][emoji23] Tanzania na kiswahili chetu tukala bingo [emoji23][emoji23][emoji23]

Vitu kama hivi vinaonesha namna gani kunyaland ni full of dunderheads na elimu yenu ni ya kula visheti tu na mzigo wa kuni! [emoji23][emoji23][emoji23]

View attachment 2509550View attachment 2509551View attachment 2509552View attachment 2509553View attachment 2509554View attachment 2509555View attachment 2509556View attachment 2509557View attachment 2509558View attachment 2509559

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

View attachment 2509560View attachment 2509561
Hii picha moja mbona reli inaendelea na kuwa rough road au train ikifika hapo inatumia matairi kama ya gari kuendelea na safari?
 



The only kenyan in St.Helena island who is the head of air traffic controller

JKIA airport security ranked as the best in africa

The best 007 pitia hapa uone JKIA


Ngoja waingie YouTube watafute video za Wakenya Saudi. 😂 😂

That's their only comeback, because in their country, you'd have to jump hoops to find a Tanzanian working as a professional abroad.
 
Some of these slums are way better than your uswazi hovels that cover your entire city. Take a look at Kariobangi for instance and compare with your Swahili uswazi hovels

Kariobangi slum View attachment 2509306View attachment 2509307View attachment 2509309

Now compare with your disorganized uswazi sprawls you call middle class areas View attachment 2509313View attachment 2509314View attachment 2509315View attachment 2509316View attachment 2509317View attachment 2509319
Kwnn unaonesha maeneo ya barabarani alafu unaita slums, unataka kutuambia ma slums ya Kenya hatuyajui au [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mkunya anahoji kwanini SGR yetu inachukua muda, hajui tunajenga brand new 220kv transmission line along with the railway simultaneously kwa bei ile ile half the price of chang'aa project 😂😂😂🚉

Screenshot_20230207-181844.png
 
Back
Top Bottom