Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Eti 60% ya walimu wa Kenya waliajiriwa Tanzania? Where did you get this data from bongolala?

Secondly, how much does the lowest paid teacher earn per month in Tanzania? Use credible evidence to back it up
Ni juzi juzi tu ndiyo tumeacha kuwaajiri baada ya kuona Watz wapo vzr kuliko walimu kutoka Kenya na pia maadili ya Wakenya ni hovyo wanabaka wanafunzi pia wachafu.
 
Duh!! Dunia yote inajua hivyo kumbe wewe pekee yako hujui!!! Waulize wakenya wenzako.
empty rhetoric as always. Mtu unasema kitu ikiulizwa udhibitishe unaanza kelele. Watanzania jamani! 😃
 
Ni juzi juzi tu ndiyo tumeacha kuwaajiri baada ya kuona Watz wapo vzr kuliko walimu kutoka Kenya na pia maadili ya Wakenya ni hovyo wanabaka wanafunzi pia wachafu.
I have asked you a very simple question; to prove that you employ 60% of teachers in Kenya. Maneno mengi ya nini?
 
Sio huyo you kuna mholanzi huku tanga niliongea nae mambo kadha wa kadha akaniambia kua Germany ni China ya ulaya hata mm nilikua siamini kama mchechi yuko mbali kihivyo
Mm kuna mjapan nmewahi kumuuliza pale kazini kuhusu China akajibu hivyo hivyo, tena nilimwambia nchi yenu imeendelea kuliko China lkn hampigi kelele wala nn, mjapan akakataa akasema China kwa ss imeendelea kuliko Japan, wenzetu huwa wanasema kweli na huwa wanaachana na mambo ya historia wanasema ukweli.
 
Si waliandamana kuwa mradi unachafua mazingira imekuaje tena
Tuendelee kunywa mtori nyama zipo chini au tutumie vijiko kuchukua nyama zilizopo chini?

index.php
 
Back
Top Bottom