Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hivi wewe uko na matatizo ya akili au umepagawa?, Hii link uliyoweka Tanzania signs $1.9 bln railway contract with Turkish firm inasema Tanzania imesaini mkataba na Yerpi Markezi ambayo ndiye mkandarasi anayejenga reli yetu, kwahiyo hiyo huyo Contractor ndiye aliyetoa hiyo pesa?.

Kwahiyo hata kile kupande Cha mwisho Cha Mwanza Hadi Isaka ambacho kinajengwa na mkandarasi toka China utasema mkopo umetoka China?, Punguza ujuha wako.

Pesa ya SGR Hadi Sasa imetolewa na AfDB, GoT na Standard Charted Bank, kwengine kote tulikoomba hatujapata.
 
Tanzania requested funds from different places including China, BRICS, Turkey, WB but didn't get due to many reasons, the same way Uganda and Kenya requested funds from China but didn't get. Can you show us article which states, "Tanzania gets fund from Turkey?.
To request and to get are two different things
 
Hii debate imefanya nimuulize mjapani hapa ofisini kuhusu Japan na China.
Jibu alilosema. Japani iliendelea kabla ya China lakini China ipo juu yao kwa sasa.
Mm kuna mjapan nmewahi kumuuliza pale kazini kuhusu China akajibu hivyo hivyo, tena nilimwambia nchi yenu imeendelea kuliko China lkn hampigi kelele wala nn, mjapan akakataa akasema China kwa ss imeendelea kuliko Japan, wenzetu huwa wanasema kweli na huwa wanaachana na mambo ya historia wanasema ukweli.
 
Tanzania requested funds from different places including China, BRICS, Turkey, WB but didn't get due to many reasons, the same way Uganda and Kenya requested funds from China but didn't get. Can you show us article which states, "Tanzania gets fund from Turkey?.
To request and to get are two different things
Utazunguka huku na kule but mwishowe the truth shall set you free
 
Mwendelezo wa Takwimu kwa mujibu wa IFFHS.
Ligi kuu ya Tanzania bara 🇹🇿 imekuwa ligi bora barani Africa no. 5, na no. 39 duniani kwa mwaka 2022
Ligi 10 bora Africa
1. Egypt 🇪🇬
2. Algeria 🇩🇿
3. Morocco 🇲🇦
4. Sudan 🇸🇩
5. Tanzania 🇹🇿
6. South Africa 🇿🇦
7. Angola 🇦🇴
8. Tunisia 🇹🇳
9. Nigeria 🇳🇬
10. Zambia 🇿🇲



Tujikumbushe. Kwa mwaka 2021, tulikuwa ligi ya 10 Africa


Mwaka 2020, tulikuwa wa 8

Naona media za Tanzania ndo zimejua leo😀
 
Back
Top Bottom