The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,434
- 10,965
Unataka kuongea kuhusu nn hapa kwa kua ECDE sio waalimu ni wachimba makaburi au🤣🤣🤣🤣🤣🤣Those are ECDE teachers. Google ECDE ujue ni nini
The lowest paid P1 teachers in Kenya earn Ksh25,000
ECDE teachers sio walimu? 😂😂😂Those are ECDE teachers. Google ECDE ujue ni nini
The lowest paid P1 teachers in Kenya earn Ksh25,000
Wakenya tumewazidi mambo mengi mengi mnoo ni vile wamejaliwa midomo mipana isiyo na shukurani, huku Tz tulikuwa tumewaajiri maelfu ya Wakenya, asilimia zaidi ya 60 ya walimu wote wanao graduate Kenya walikuwa wanaajiliwa Tz mpk pale JPM alipowapiga marufuku baada ya kuwa walimu wengi wa Kenya walikuwa wanafanya ushenzi wa kubaka wanafunzi.Dah hii hatari sana kwa elimu ya nchi. Kumbe walmu wetu huku wana enjoy sana kimaslahi.
Hata za makaratasi zimewashinda Ethiopia na Angola wamechukua nafasiHamna uchumi hapo mkuu labda GDP tuu ya karatasi.
Pale maduka sasa wataweka wapi? Kwani hizo pesa wanazotoza mabasi hazitoshi?Ndio wataweka coz wanataka kuzungusha maduka pia
Sielewi sijui kwa nini wanataka kufanya hivyoPale maduka sasa wataweka wapi? Kwani hizo pesa wanazotoza mabasi hazitoshi?
Watafanya pawe very very ugly!
Wamejileta 😁😁😁
Watakuwa wanataka Msaada wa mahindi si unajua Ondinga Kwa sababu Kuna njaa 🤣🤣Au labda wanataka tumtulize odinga aache mpango wa maandamano ya nchi nzima
Unataka kuongea kuhusu nn hapa kwa kua ECDE sio waalimu ni wachimba makaburi au🤣🤣🤣🤣🤣🤣
They are not employees of Teachers Service Commission of Kenya, the official employer of all teachers in Kenya. ECDE teachers are employed by county governmentsECDE teachers sio walimu? 😂😂😂
Si waliamua kula ya Gmo baada ya kushidwa haya ya kawaida tunayokula na kulimaWatakuwa wanataka Msaada wa mahindi si unajua Ondinga Kwa sababu Kuna njaa 🤣🤣
Eti 60% ya walimu wa Kenya waliajiriwa Tanzania? 😂😂 Where did you get this data from bongolala?Wakenya tumewazidi mambo mengi mengi mnoo ni vile wamejaliwa midomo mipana isiyo na shukurani, huku Tz tulikuwa tumewaajiri maelfu ya Wakenya, asilimia zaidi ya 60 ya walimu wote wanao graduate Kenya walikuwa wanaajiliwa Tz mpk pale JPM alipowapiga marufuku baada ya kuwa walimu wengi wa Kenya walikuwa wanafanya ushenzi wa kubaka wanafunzi.