Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nitake radhi bwana usitaje hovyo neno SGR bila kutanguliza neno electric eco friendly hayo maneno huleta heshima kwa neno sgr.
Ongeza pia Immobile sgr ambayo mdanganyika raia wa kawaida hajawahi panda wala faidika
72yQyi6h.jpg

zEyLLc3h.jpg


Sgr ya danganyika haijawahi anaza kazi 10 years later kila saa ni mwakani mwakani

oh4KnfUh.jpg

I8zjbNFh.jpg
 
Eti hakuna ushahidi Tanzania imesaini kuchukuwa loan Uturuki? 😂😂

Niliambia mwenzako kwamba mtazunguka kwote na vijimaneno but the truth shall set you free eventually


And if that's not enough for you, here is a video taken during the official signing ceremony attended by your President

Ww chizi kweli 🤣🤣🤣 hio video anasaini ujenzi wa reli na huyo anaezaini ni mkurugenzi wa TRC na mkandarasi yapi markezi tangu lini loan ikasainiwa na mkurugenzi wa TRC

Bro siku utapata tanzania imechukua loan kwa ujenzi wa SGR nitag nifunge acc ila pia nimeamini kweli unaumia sana mpaka unaleta video ya utiaji saini wa ujenzi wa reli kipande cha pili 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hivi, hujui hata yanayoendelea ndani ya nchi yako yet you make a lot of noise objecting everything!!

Loan mliyopewa na waturuki ni kwa ajili ya phase three between Makutopora and Tabora, not phase two as you say. The deal was signed in October 2021


Yani inatumia nguvu nyingi kupinga ukweli wakati hakuna unachojua
Ww kapimwe mkojo yawezwkana ukawa na UTI sugu 🤣🤣🤣🤣🤣 unatuomesha video ya utiaji saini kati ya TRC na yapi markezi au ww hujui kua yapi markezi tumemuajiri ajenge reli???
 
Mombasa SGR terminus is better than all sgr stations in danganyikaland.
On the left, Mombasa sgr terminus has a marshaling yard for cargo something which no tanzania sgr station has.
m8YCneT.jpg
 
You sure you want to go here? 🤣🤣🤣 Yani zote combined mnapelekwa teke teke na bank moja Kenya 🤣
Hebu niambie ukweli kwan hupendi kuona tanzania ikifanya makubwa 🤣🤣🤣 hvi niambie ww kuna bank gani kenya ni mshindani wa KCB ukipata let me know au kuna mtandao gani kenya ni mshindani wa safaricom
 
Hebu niambie ukweli kwan hupendi kuona tanzania ikifanya makubwa 🤣🤣🤣 hvi niambie ww kuna bank gani kenya ni mshindani wa KCB ukipata let me know au kuna mtandao gani kenya ni mshindani wa safaricom
Equity is making almost the same in profits as KCB
 
Kima cha chini cha mishahara ya walimu wa serikali kunyaland ni 140k 😂😂😂😂

Ndio maana wanakimbilia Tanzania aisee


Those are ECDE teachers. Google ECDE ujue ni nini

The lowest paid P1 teachers in Kenya earn Ksh25,000
 
Back
Top Bottom