7seven
JF-Expert Member
- Mar 27, 2022
- 3,744
- 8,065
Wazee wa A.V.R mnatishaKuna jamaa ka post picha akikata tiketi ya Basi Kwa simu... Ameweka ka Itel cha toleo la nyuma sana![]()



Wazee wa A.V.R mnatishaKuna jamaa ka post picha akikata tiketi ya Basi Kwa simu... Ameweka ka Itel cha toleo la nyuma sana![]()



V.A.R , Kumradhi. Usiku mwema nyote naona macho yameanza kunidanganya.Wazee wa A.V.R mnatisha![]()
Ichogal wacha nikuambie tu ukweli, reasoning yako na kondoo hakuna tofautiEnhh mutaniua manake sio kwa chuki hzo![]()


wewe unakaa wale waswahili wambea tu, domo domo with zero facts, msengenyaji 101

Pesa za ndaniHii habari imekufkianikutakie usiku mwema au wewe hulali
Mbona hueleweki, ikija upande wa kuzidiwa GDP unajitetea lkn hapo hapo unasema ni takwimu za zamani, wallahi nyie ni misukule kweli kweli.Kwa mfano, Second richest county according to that Wikipedia page ni Nakuru. Ina GDP ya USD 10M. Meanwhile population yake ni 2.1M. GDP per capita inakuja 4760 USD.
Second richest region in Tanzania ni Mwanza. Ina GDP ya USD 16M na population ya 3.7M. GDP per capita itakuwa 4324.
Clearly Nakuru ipo juu na ikumbukwe ukiangalia kwa hizo page mbili, data ya Tanzania ni ya 2019 wakati ya Kenya ni ya 2018. Ukiupdate ya Kenya ndio tunawapiga zaidi.
Ndiyo mnaanza leo kuijenga Kariakoo yenu wakati cc kwetu hakuna nafasi maghorofa yamejaa kariakoo nzima.Nairobi. Such towers are being completed on daily basis. 18-23 floor towers mostly
View attachment 2505294View attachment 2505295
See how many green nets in Eastleigh
View attachment 2505299
Aisee...kumbe mko wengi hivyo?Hiyo sio miji, hiyo ni regions vs counties. Regions zenu ni kubwa kushinda counties zetu, what do you expect? Mko na 23 regions na population ya over 61m, hiyo ni average ya 2.7M people per region. Tuna counties 47 na population ya 50M. Hiyo ni about 1.06M people per county on average. Kumaanisha region yenu imeshinda county yetu na karibu 2.7 times alafu bado unazilinganisha moja kwa moja. Huwa mnashindwa kufikiria sana ninyi wabongo.
Fikeni hapa kwanza 👇Nairobi. Such towers are being completed on daily basis. 18-23 floor towers mostly
View attachment 2505294View attachment 2505295
See how many green nets in Eastleigh
View attachment 2505299
Alafu kanchi kenyewe kadogoo, mara mbili ya Tz. Tatizo wanaendekeza sn ngono zembe, wanapigana miti mpk kwenye recreational parks unategemea nini.Aisee...kumbe mko wengi hivyo?
Yaan kenya mnatukaribia kwa population? Mko 50m?
Hii Dom wanaiogopa hawataki kuiona inawapea pressureView attachment 2505531
Kunyans huku ndio tunakoelekea (Dodoma)








Kwakua hao nyongeza kutoka 50 to 55 ni kondoo sio binaadamu 😆😆😆Haibadilishi kitu.
Kariakoo ya wapi hako kasehem ni kadogo kamejikusanya tu 😆😆😆 tizama mbele ya magorofa utaona pori kama kawaidaNdiyo mnaanza leo kuijenga Kariakoo yenu wakati cc kwetu hakuna nafasi maghorofa yamejaa kariakoo nzima.View attachment 2505350