NDINDA
Platinum Member
- Apr 4, 2011
- 10,726
- 49,572
Asante mjumbe wa halmashauri kuu na nikupe taarifa tu hapa nilipo nimeziweka kiganjani nazipikicha huku navuta vuta kinyoleo kirefu kuliko vyote kiliokua kimebakia![]()







Aminia Mwenyekiti.Asante mjumbe wa halmashauri kuu na nikupe taarifa tu hapa nilipo nimeziweka kiganjani nazipikicha huku navuta vuta kinyoleo kirefu kuliko vyote kiliokua kimebakia![]()







Aminia Mwenyekiti.🤣🤣🤣🤣🤣 1.9b for phase two ilitoka standard chartered 1.4b na serekali ikatoa 0.5b na ushahidi upo wa utiaji saini mkatabaUtazunguka huku na kule but mwishowe the truth shall set you free
![]()
Turkey wins bid to finance, build $1.9b second phase of Tanzania railway
Firm met technical and financial requirements to clinch deal.www.google.com
So angepost sinia nzuri ungeamini he aint struggling ama?
Hebu dadavua kidogo tujifunze tafadhalKwenye bank sector majirani wako vizuri zaidi yetu
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Umesahau na hiiTuendelee tusiendelee?
View attachment 2503981
😆😆😆😆Mnaweka chakula kwenye sinia za msaada. Zimechafuka kweli.
Uswazi kabisa huko ndani ndani…..#AtaliSanaDarView attachment 2504042View attachment 2504043View attachment 2504044View attachment 2504045View attachment 2504046View attachment 2504047View attachment 2504048View attachment 2504049View attachment 2504050View attachment 2504051View attachment 2504052View attachment 2504055View attachment 2504055
Sinia chafu la nyama za mbwa....Ukiona hiv.. ujue hali ni mbaya
Wengine wako humu wakiimba wimbo wa GDP kubwa, lkn picha zao zengine wanazopost humu zinawaumbua.. mara apost sinia chafu la nyamba za mbwa.. mwingine apost magar kukuu ya '5 yrs ago'..barabara ndo hivyo hazielewek.. BRT imestack..yan ovyo ovyo hakuna muelekeo



















says a danganyikan with no sgrShida mkiachiwa shughuli muhimu za reli mtalipua kazi na kuendekeza rushwa badala ya usalama wa raia na mizigo yao.
Kwakweli kuna mambo yanafanyika yanatia moyo.Uswazi kabisa huko ndani ndani…..#AtaliSana
Mnaweka chakula kwenye sinia za msaada. Zimechafuka kweli.







sio sinia tu, Pixel pia zinasema kuhusu aina ya device 





Buza hiyooUswazi kabisa huko ndani ndani…..#AtaliSana
sio sinia tu, Pixel pia zinasema kuhusu aina ya device
![]()



Hongera kwa kusoma Cornell ila naona hukunisoma vizuri, nilisema wazazi ni "moja" ya kigezo, siyo lazima. Michelle Obama alisoma Princeton, lakini wazazi wake hawakusoma college.Sio lazima, mini baba na mama yangu hawajasomea Ivy league university yeyote.
Lakini mimi nimesoma Ivy league (Cornell) kwa masomo ya graduate degrees (master na Ph.D.)
Halafu, kwenye Ivy league huwa hawaongelei admission ya advanced degrees kama masters au doctorate bali undergraduates. Hizi advanced degrees, yeyote mwenye pesa na uwezo wa kawaida anaweza kuwa admitted, ndiyo maana "zero" (Sumaye) aliweza kusoma Harvard. Mtiti upo kwenye kukubaliwa shahada ya kwanza.Kitu cha kwanza ni
1) kupata admission
2) cha pili uwezo wako mzuti wa akili.
3) cha tatu ni uwezo wa kulipia Programs.
Kila kitu kinawezekana ni kuongeza jitihada na kukubali kuhakikisha unatafuta majibu kwa kila tatizo lako.