Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dar
ortamisemi_1675359032525672.jpg
ortamisemi_1675359032525484.jpg
ortamisemi_1675359032525461.jpg
ortamisemi_1675359032525907.jpg
ortamisemi_1675359032525407.jpg
ortamisemi_1675359032525596.jpg
ortamisemi_1675359032525885.jpg
tarura_tanzania_1675359009351453.jpg
tarura_tanzania_1675359009351586.jpg
tarura_tanzania_1675359009351543.jpg
tarura_tanzania_1675359009351990.jpg
ortamisemi_1675316686980340.jpg
ortamisemi_1675316686980340.jpg
 
Ukiona hiv.. ujue hali ni mbaya
Wengine wako humu wakiimba wimbo wa GDP kubwa, lkn picha zao zengine wanazopost humu zinawaumbua.. mara apost sinia chafu la nyamba za mbwa.. mwingine apost magar kukuu ya '5 yrs ago'..barabara ndo hivyo hazielewek.. BRT imestack..yan ovyo ovyo hakuna muelekeo

Sinia chafu la nyama za mbwa....
 
Sio lazima, mini baba na mama yangu hawajasomea Ivy league university yeyote.

Lakini mimi nimesoma Ivy league (Cornell) kwa masomo ya graduate degrees (master na Ph.D.)
Hongera kwa kusoma Cornell ila naona hukunisoma vizuri, nilisema wazazi ni "moja" ya kigezo, siyo lazima. Michelle Obama alisoma Princeton, lakini wazazi wake hawakusoma college.
Kitu cha kwanza ni
1) kupata admission
2) cha pili uwezo wako mzuti wa akili.
3) cha tatu ni uwezo wa kulipia Programs.

Kila kitu kinawezekana ni kuongeza jitihada na kukubali kuhakikisha unatafuta majibu kwa kila tatizo lako.
Halafu, kwenye Ivy league huwa hawaongelei admission ya advanced degrees kama masters au doctorate bali undergraduates. Hizi advanced degrees, yeyote mwenye pesa na uwezo wa kawaida anaweza kuwa admitted, ndiyo maana "zero" (Sumaye) aliweza kusoma Harvard. Mtiti upo kwenye kukubaliwa shahada ya kwanza.
 
Back
Top Bottom