Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Relax kijana, huenda umechanganyikiwa. Those figures are in KSH, sio ile hela yenu ya madafu. KCB made KSH 30.6 billion in the third quarter of 2022. Hiyo ni sawa na TSH 612 billion hela za madafu. Tuambie ni benki gani hapo kwenu hutengeneza faida kiasi hicho hata ndani ya mwaka mmoja
Weka profit za KCB bank hapa acha kurukaruka kama corn kwenye kikaango.
 
Hizi ndio bank za wanaume hufanya

Na hii ndio maana halisi ya pesa za ndani

If it was that willing and ready serikali yenu haingeenda kutembeza bakuli AfDB, Standard Chartered bank na uturuki
 
Weka profit za KCB bank hapa acha kurukaruka kama corn kwenye kikaango.
Fuatilia thread, they are already posted above. But because you are a lazy ass, I won't mind posting it here again. This is what they made in 9 months.
Screenshot_20230201-201957~2.png


Tuletee benki yoyote hapo Tanganyika ambayo imetengeneza faida kiasi hicho hata ndani ya mwaka mmoja
 
If it was that willing and ready serikali yenu haingeenda kutembeza bakuli AfDB, Standard Chartered bank na uturuki
Leta evidence kuwa tumetembeza bakuli uturuki. Standard chartered wao walivutiwa na our financing model na potential ya sgr yetu walikuja wenyewe hatukuwaita.
 
Fuatilia thread, they are already posted above. But because you are a lazy ass, I won't mind posting it here again. This is what they made in 9 months. View attachment 2503375

Tuletee benki yoyote hapo Tanganyika ambayo imetengeneza faida kiasi hicho hata ndani ya mwaka mmoja
Stop being a dumb ass what was posted was KCB Group and not KCB Bank.

Dont you see that these two are different? KCB Bank iko ndani na KCB Group and so is National Bank and other non banking businesses.
 
Wazee wa Battle ya China na West angalieni battle yenu kwa muktadha huu then mtaacha kubishana especially in infrastructure development. Iangalie West as Vintage and China as Modern, sasa kwa namna fulani kila kimoja kina namna yake na radha yake. Angalia hivi vitu kwa mfano.

30A418DC-77F5-4586-9B60-66194533EA8F.jpeg
ACDE6DA7-C25D-4198-AB33-455A6DFB9E74.jpeg
6B33CBF9-B90B-47C0-91D2-1C63198E62FA.jpeg
D5957201-4CF3-4EFC-9A1F-93F9B1DC9656.jpeg
B896D433-918E-4393-97A3-5EDB3C544715.jpeg
72FF63FF-0192-46FE-98DA-310D7B00715A.jpeg

Sasa hapa ndio unapata sura halisi ya China na West. Watu ambao wako attracted na Classy ni wazi wataenda kwa West since miji yao ni ya kale na wameitunza sana. Wazee wa fancy fancy ni obvious watakomaa na China. Sasa hao wenzetu despite hizo differences miji yao inafunction vizuri kabisa, mambo yako proper kabisa.

So sisi tukomae na kuijenga Afrika, tuijenge kwa namna ambayo itaembrace both modernity na vintage, lakini pia tusisahau kutupia our Afrikan identity kwenye miji yetu mipya, hapa naongelea Architectural designs zetu.

One Love For Afrika.
 
Kwanza atuambie mabenki za kwao zimejenga kilomita ngapi za barabara hapo Tanganyika ndio aulize swali la kijinga kama ile
Tatizo lako una hasira sn na Tz plus wivu thus y huwezi hata kutaja jina halisi la Tz, kipi kinakufanya usijue kuwa kwa ss hili linchi likubwa linaitwa Tz? Punguza wivu wa kike msee Ojwang.
 
Relax kijana, huenda umechanganyikiwa. Those figures are in KSH, sio ile hela yenu ya madafu. KCB made KSH 30.6 billion in the third quarter of 2022. Hiyo ni sawa na TSH 612 billion hela za madafu. Tuambie ni benki gani hapo kwenu hutengeneza faida kiasi hicho hata ndani ya mwaka mmoja
Pesa yenu pia inaitwa dafu, tena dafu lisilo na thamani. Dafu la Kenya 1000 ni sawa na 18000 ya Tz au chini ya hapo lkn 18000 ya Tz ina nguvu kuliko 1000 ya Kenya.
 
Mombasa-Naivasha and soon MOMBASA - KAMPALA SGR is/will be the only double-stacked SGR in Africa
nJZJX5f.jpg



Locals are taking over critical operations such as maintenance and control

sDJzzlD.jpg


1TosQiP.jpg


LgsYgsk.jpg
We all know the story of falling buildings in Kenya I can see you want to replicate that on transport sector as well especially rail transport
 
Fuatilia thread, they are already posted above. But because you are a lazy ass, I won't mind posting it here again. This is what they made in 9 months. View attachment 2503375

Tuletee benki yoyote hapo Tanganyika ambayo imetengeneza faida kiasi hicho hata ndani ya mwaka mmoja
Tofautisha kati ya KCB group and KCB Bank Kenya Limited which is a subsidiary of KCB group. What you have posted is a profit made by KCB Group not a KCB Bank
Screenshot_20230202-121548_Chrome.jpg
Screenshot_20230202-121417_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom