NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 17,082
- 19,317
I see what you've done there. 🤣 🤣TOKYO, JAPAN. A city with the biggest GDP, most populated, and largest on earth.
"na inatoshea kwa picha moja 🤣 🤣 "
![]()
I see what you've done there. 🤣 🤣TOKYO, JAPAN. A city with the biggest GDP, most populated, and largest on earth.
"na inatoshea kwa picha moja 🤣 🤣 "
![]()
Sasa hapo umeandika nini[emoji1][emoji1] hizo namba zinamaanisha niniTatizo lako unadhani technology ni HUAWEI pekee. Technology ni pana mno.
Mimi siongei maneno matupu naongea kwa vitendo.
View attachment 2502714
Sasa mzee huju?Sasa hapo umeandika nini[emoji1][emoji1] hizo namba zinamaanisha nini
Niambie China ina technologia gani kubwa kuizidi USA leo nafuta na jf kabisa [emoji1]
Hili swali ungeniuliza mimi ningekujibu kua marekani ipo mbele kwenye Technologia ya microchips
Wewe niambie directly kwamba China ipo mbele ya USA kwa Technologia maybe ya ujenzi na magnetic train [emoji1][emoji1] nije nikupe somo
Narudia tena China haijawahi kua na technologia ya maaana labda leo unipe somo wewe
Kupata vichekesho kama hivi [emoji3516][emoji3516] tunabonyeza wapi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wewe leta hapa data zinaongea wapi ni destination nzuri kwa watalii[emoji3]
Hakuna sehemu penye vibu kubwa kuliko Europe by 100000%
Europe ni habari nyingine kijana
Santorini Greece kama hauna pesa huwezi elewa [emoji3][emoji3] View attachment 2502668
Mambo ni mengi sanaSasa hapo umeandika nini[emoji1][emoji1] hizo namba zinamaanisha nini
Niambie China ina technologia gani kubwa kuizidi USA leo nafuta na jf kabisa [emoji1]
Hili swali ungeniuliza mimi ningekujibu kua marekani ipo mbele kwenye Technologia ya microchips
Wewe niambie directly kwamba China ipo mbele ya USA kwa Technologia maybe ya ujenzi na magnetic train [emoji1][emoji1] nije nikupe somo
Narudia tena China haijawahi kua na technologia ya maaana labda leo unipe somo wewe
Halafu mzee mimi ni mtalaamu wa Technology. Usinichukulie poa.Sasa hapo umeandika nini[emoji1][emoji1] hizo namba zinamaanisha nini
Niambie China ina technologia gani kubwa kuizidi USA leo nafuta na jf kabisa [emoji1]
Hili swali ungeniuliza mimi ningekujibu kua marekani ipo mbele kwenye Technologia ya microchips
Wewe niambie directly kwamba China ipo mbele ya USA kwa Technologia maybe ya ujenzi na magnetic train [emoji1][emoji1] nije nikupe somo
Narudia tena China haijawahi kua na technologia ya maaana labda leo unipe somo wewe
Huoni ni KZZ.
[emoji1][emoji1] kiongoz tuendee kuwanyoosha tu wakenya huku kwenye Technologia nitakuchakaza vibaya sanaMambo ni mengi sana
Hypersonic weapon USA hana
Inazidi silicon Valley?Shanzhen is a technology city. Hapo sawa?
😀 😀 😀Mzee. Mbona unaongea mambo ambayo hayapo.[emoji1][emoji1] kiongoz tuendee kuwanyoosha tu wakenya huku kwenye Technologia nitakuchakaza vibaya sana
Hio ilikua technology ya Germany miaka ya 1930 uko
Narudia tena nitajie technology kubwa ya mchina habari za hypersonic kasome upya China imeitoa wapi hio technology
Sasa unaachana ma New York tena?
Barcelona siifahamu vizuri,Binafsi Chinese city ambazo naziona zimeiva vizuri (mtazamo wangu ni Hong Kong , Beijing, Shanghai na Guangzouh)Kwanza umekubali Bacelona amekaa?
Barcelona siifahamu vizuri,Binafsi Chinese city ambazo naziona zimeiva vizuri (mtazamo wangu ni Hong Kong , Beijing, Shanghai na Guangzouh)
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
🤣🤣🤣 Hizi ni takataka bro .. majengo ya zamani.. yana heshima yake tho, lakini si katika uzuri wa dunia ya leo tuliza kalio hapo nikupe vituHakuna matajiri wanaishi kwenye maskyscrapers ya vioo.... wachina wote wanandoto za kiushi Europe [emoji1][emoji1]
Barcelona, Spain....... nguvu ya per capita income View attachment 2502565
Haya kaa kwa kutulia subir tags sawa.?Barcelona siifahamu vizuri,Binafsi Chinese city ambazo naziona zimeiva vizuri (mtazamo wangu ni Hong Kong , Beijing, Shanghai na Guangzouh)
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Kwa maghorofa au maisha bora[emoji854]Ifuatilie china mzee. China ipo na cities zaidi ya 10 zinakalisha cities za Europe
Hebu nipe definition ya maisha bora.
Hawa watakusumbua kichwa.. hizo cities za Europe zote zipo ndani ya china, tena Shenzhen iko na mixer ya Chinese traditional houses+ modern houses+ those European styled Houses. Cheki hii kwa mfano London bridge (the famous in Europe) 👇Sasa huo ni uoga, nmesema kama China hawana basi watakuwa wamepitwa kwenye nyanja hiyo ila kama wanazo itabidi tukubali kukubaliana thus y nmemuita sama boy aje atoe ushuhuda.