Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hawa ndugu zako hawawezi elewa. Kuna mwengine alipost humu Mombasa old town eti anasema ni mahali ovyo yafaa pabomolewa. Yani huwa hawaappreciate architecture, wao wakiona skyscrapers za vioo - basi. Hawajua sahii China hadi imeban ujenzi wa supertalls kisa maghosttown yamekuwa mengi. Yani China na middle-east zimefanya kinachoitwa ego-building while Europe imejenga kucater for demand. Halafu kitu hawaelewi ni kwamba, construction technology ilikulia sana Europe ndio maana sahii kuna majengo mengi Europe yaliyojengwa 1000 years ago na bado yapo hali nzuri ya utumishi wakati sehemu zingine za dunia ni majengo machache sana ya hizo enzi yanayoweza kutumika sahii.
Kwa suala la Majengo ya Zamani, China anayo pia
 
🤣🤣🤣🤣 Najua uli google ownership ya KCB group ukapigwa na butwaa
Majority ownership of equity are Kenyans 🤣🤣
Plus do you mean all the tanzania commercial banks in that list are Tanzanían owned? Cause I saw a couple of kenyan banks 🤣🤣
Majority unamaana ipi. Wakati wazungu ndio majority.
 
Hakuna aina yoyote ya makazi ambayo haipo ndani ya china .. The best 007 👇
74162b63-8b29-42e2-9ae4-0bcf7e95f6c8.jpg
4-format2003.jpg
378494221-v162x100-940x580.jpg
0x0.jpg
PNOLRK2LD5PLEZJ4YAHEP3GD3Q.jpg
1587961908801038548.jpg
.. hii ni residential area tu in Beijing.. tuusan. Usije ukajua china ni ya gorofa tu.. lahasha.!!
 
Kwa suala la Majengo ya Zamani, China anayo pia
Kidogo sana ukicompare na Europe. Most of Chinese medieval buildings were made of wood and didn't last very long. Halafu nyingi wanazosema ni ancient bildings ni just reconstructed buildings that are designed to resemble their ancient buildings. Huwezi pata mji wa China hivi - yani 80% of the buildings are over 100 years old.

aerial-view-of-the-city-of-rome-italy-AAEF06435.jpg
 
Kidogo sana ukicompare na Europe. Most of Chinese medieval buildings were made of wood and didn't last very long. Halafu nyingi wanazosema ni ancient bildings ni just reconstructed buildings that are designed to resemble their ancient buildings. Huwezi pata mji wa China hivi - yani 80% of the buildings are over 100 years old.

aerial-view-of-the-city-of-rome-italy-AAEF06435.jpg
Kwahiyo unataka kutuaminisha kutuaminisha kwamba Hizi gorofa za Europe hazijarekebishwa.? Wacha ujinga
 
What more evidence do you need than these reports?



And if those are not enough, below is an excerpt from one of reports I have shared quoting your president View attachment 2502528
Bado sijaona turkish finance kwenye hiyo report au maeĺezo yako.
 
Nimesikitika sana kukosa kufanya application ya Block Farming ya Mradi wa BBT mpaka jana kumbe muda umeisha, ila poa ntajipanga kivingine.

Umesema vizuri sana, kilimo na ufugaji ndio future, mi nilianza tu kiutani utani urban gardening kwenye eneo la nyumba yangu leo nina miti aina kumi za matunda na sinunui mbogamboga. Tupambane kwenye kilimo, hizi progress tunatamba nazo bila chakula ni upumbavu tu kama wenzetu hawa wanaolilia ugali kila siku huku ardhi wamepanda maua.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sina kuongeza umeongea yote kaka.

Mwenye chakula siku zote ndiye boss mkuu. Ila majirani zetu wanachekesha sana aisee [emoji3][emoji3].
 
Nimesikitika sana kukosa kufanya application ya Block Farming ya Mradi wa BBT mpaka jana kumbe muda umeisha, ila poa ntajipanga kivingine.

Umesema vizuri sana, kilimo na ufugaji ndio future, mi nilianza tu kiutani utani urban gardening kwenye eneo la nyumba yangu leo nina miti aina kumi za matunda na sinunui mbogamboga. Tupambane kwenye kilimo, hizi progress tunatamba nazo bila chakula ni upumbavu tu kama wenzetu hawa wanaolilia ugali kila siku huku ardhi wamepanda maua.
Hope so huu mradi wa BBT utatoka tena kutokana na uhitaji wa watu, kuwa chonjo next time usiukose.Hata mimi bado ila mbeleni nitafanya hivyo.
 
Back
Top Bottom