Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,913
- 103,781
tatizo inakuwaje mtoto anachukuliwa picha halafu inasambazwa? hizi NGOs uchwara ni za kishenzi sana!Kwa hiyo unadhani nchi zilizoendelea hazifundishi wanafunzi wao kutumia kinga kujikinga na ujauzito na baadhi ya magonjwa? Sidhani kama Tanzania ina aina hii ya elimu. Wakati wote huwa ni abstinence.


