NDINDA
Platinum Member
- Apr 4, 2011
- 10,726
- 49,572
Cha kushangaza bado wanalalamika hakuna ajira,zote umeongea ni fursa hapo kuanzia ughali wa mahindi (wanatakiwa wakalime kwa wingi ya umwagiliaji walitosheleze soko) na fursa kwenye uzoaji taka, umeshaelezea vizuri hili lakini hawa aggressiveness yao sijui ipo wapi ukiondoa ukora
![]()
Ndio hua najiuliza , kama mtu asiye aggressive anaona business opportunity wao aggressive wapo wapi, Pia hivi karibuni nimepitia pitia kampuni za uzoaji taka Nairobi kama za Dar nimegundua kuna kampuni kongwe ila ina wateja 300
Yaani kampuni imeanzishwa miaka ya 80 ina wateja 300 wakati Kampuni moja bongo iliyoanzishwa miaka 7 iliyopita ina wateja wengi na ipo mikoa kadhaa 
Yaani hawa watu ni midomo tu mirefu kama SGR ya Tanzania

Jisomee hapa.
Kenya
The Best Waste Management Companies in Kenya - The Best in Kenya
Do you want to enjoy a clean environment at your home or workplace? Here are the reliable waste management companies to cater for your litter
Tanzania.
Green WastePro Ltd - About
Learn more about Tanzania's leading waste management company
www.greenwastepro.co.tz


