Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hivi hawa wanamtaka nani? Kipindi cha Magufuli walikua wanasema tunamtaka Rais mkali kama JPM, hiki kipindi cha mwanamke nao wanataka Rais mwanamke mpole alooo!

Nani anawaelewa hawa anisaidie ufafanuzi?
Hao jamaa wa falme za kiarabu wanataka kuifanya TZ kuwa Oil Hub hapa East and Central Africa.

Tukiwekelea na ya Uganda hapo naiona kabisa petro Tshs yenye nguvu na uchumi mkubwa wa Bongo.
 
The tallest building in East, Central, and West Africa
Britam Towers, UpperHill Kenya
2018-10-15-13-07-44_5bc491209bcd4_9045-jpeg.1271057

dji_0039-jpeg.1271058
Hiyo spire iko very conspicuous kuliko the main structure
 
Embu taja any European country ambayo haina electric trains.
Wacha hata electric trains. Kuna nchi za ulaya ambazo hazina hata functional diesel railway system. Mfano ni Andorra, Cyprus and Iceland. Swali ni je, Tanzania ni nchi tajiri kushinda Cyprus ama Iceland kwa mfano ambazo hazina any railway system, iwe ni ya diesel ama electric?

Watanzania mnapenda ubishi za kijinga sana!! Jielimishe kidogo kabla ya kuweka ubishi mbele
 
Akikutajia ni-tag!
Let me make it simpler for you
👇 👇
Wacha hata electric trains. Kuna nchi za ulaya ambazo hazina hata functional diesel railway system. Mfano ni Andorra, Cyprus and Iceland. Swali ni je, Tanzania ni nchi tajiri kushinda Cyprus ama Iceland kwa mfano ambazo hazina any railway system, iwe ni ya diesel ama electric?

Watanzania mnapenda ubishi za kijinga sana!! Jielimishe kidogo kabla ya kuweka ubishi mbele
 
Ndio hua najiuliza , kama mtu asiye aggressive anaona business opportunity wao aggressive wapo wapi, Pia hivi karibuni nimepitia pitia kampuni za uzoaji taka Nairobi kama za Dar nimegundua kuna kampuni kongwe ila ina wateja 300Yaani kampuni imeanzishwa miaka ya 80 ina wateja 300 wakati Kampuni moja bongo iliyoanzishwa miaka 7 iliyopita ina wateja wengi na ipo mikoa kadhaa
Yaani hawa watu ni midomo tu mirefu kama SGR ya Tanzania

Jisomee hapa.

Kenya


Tanzania.

 
Wacha hata electric trains. Kuna nchi za ulaya ambazo hazina hata functional diesel railway system. Mfano ni Andorra, Cyprus and Iceland. Swali ni je, Tanzania ni nchi tajiri kushinda Cyprus ama Iceland kwa mfano ambazo hazina any railway system, iwe ni ya diesel ama electric?

Watanzania mnapenda ubishi za kijinga sana!! Jielimishe kidogo kabla ya kuweka ubishi mbele
Nchi ya kutembea kwa mguu unaimaliza kwa masaa tu iwe na SGR ya nini? Una akili kweli kichwan?
Screenshot_20230128-231832.png
 
Wacha hata electric trains. Kuna nchi za ulaya ambazo hazina hata functional diesel railway system. Mfano ni Andorra, Cyprus and Iceland. Swali ni je, Tanzania ni nchi tajiri kushinda Cyprus ama Iceland kwa mfano ambazo hazina any railway system, iwe ni ya diesel ama electric?

Watanzania mnapenda ubishi za kijinga sana!! Jielimishe kidogo kabla ya kuweka ubishi mbele
I thought you had the balls to mention european states but you had no balls instead you mentioned european microstates.

This is akin to saying that Zanzibar does not have an electric railway while Tanzania has one.
 
I thought you had the balls to mention european states but you had no balls instead you mentioned european microstates.

This is akin to saying that Zanzibar does not have an electric railway while Tanzania has one.
So it's now not about European countries again?!😂😂😂
It's now about microstates? Explain to me how the countries I listed above are the same as Zanzibar that you are mentioning in terms of sovereignty. Explain to me which country Iceland is alienated to like Zanzibar is to Tanganyika
 
Ulisema hakuna nchi yoyote duniani yenye pesa haijajenga treni ya umeme. European countries are wealthier a million times than your shithole country yet some of them don't have electric trains. Do you think they lack the money to build electric railway system? Mibongolala ni mibongolala tu
Ninauhakika umeelewa ninlichosema, unajaribu kukwepa Ili kujiliwaza baada ya kugundua ujinga wenu wa kujenga "Diesel railway katika Karne ya 21, hovyo Sana ninyi.
 
Hii ndio kitu huyo kilaza wenu alisema


Sasa swali ni: Tanzania ina hela nyingi kushinda zile nchi za ulaya ambazo hazina electric train? Mbona sasa unatetea ujinga?
Huna akili wewe, soma hiyo post yangu na utumie akili kuielewa. Nimesema kwamba " Hakuna nchi yoyote tajiri na yenye uongozi Bora ambaye (Ikiamua kujenga reli) ichague kujenga reli ya mafuta. Chizi wewe
 
Back
Top Bottom