Hakuna haja ya kujenga Hydropower plant nyingne tatu mpya
1.Ruhudji 358 Mw
2. Rumakali 222 MW
3 .Kakono 87 MW (Hii imefika stage ya mwisho iendelee tu )
Hizo hela Bora GOT iweke kwenye miradi ya lami vijijini ili mazao ,na watu wasafiri vizuri , expand Dar port kuongeza cash flow na revenues , ongeza rural electrification . return zake ni kubwa JNHPP itapiga kazi for about 5 to 10 years mpka demand itakapokaribiwa , then wa resume Rumakali na Ruhudji
Timing is very crucial no need for over investing on big power projects after JNHPP, Malagarasi and rusumo , ambazonin 5 years zitakuwa zinazalisha umeme zote na zitaongeza 2216 MW kwenye grid kama hakuna shida ya mvua .
If we want to achive greatness lazima tu focus on key things, na tusifike level za Egypt au ghana nao walifnaya projects bila timing nzuri , wananchi wanalia
Haya ni mawazo yangu tu
View attachment 2497846View attachment 2497862