Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Jamen, humu kuna engineers (electrical & mechanical) anatafuta michongo niwe narusha updates humu?.. mana huwa napitia pitia pages za makampuni (viwanda) kutafuta tenders za kimaintenance services. Mara nyingi nakutana na employment opportunities wameziweka huko.. sometimes pia tunawapigia wahusika kuwaambia huyo mtu wanaemtafuta, hizo kazi zake tunaziweza kuzifanya kama kikampuni 'service provider', but most of them wanataka kuemploy mtu na si kuingia mkataba na kampuni nyingine.
Kuna tangazo kama hili, mechanical engineer anatafutwa
View attachment 2498485

Pia, mkiona kiwanda kinatafuta kampuni ya kufanya service au maintenance ya mashine yoyote hasahasa condition-based, condition monitoring na reliability services (hizi ni deals kubwa viwandan), 'jamen' msisite kushare huku, tupate hata kaugali ka watoto
Safi sana mkuu, huko Kenya hakuna opportunities kama hizi, ikitangazwa position moja applicants wanakuwa 100,000 ni hatari sana.
 
Wakenya wanajivunia currency yenye nguvu lakini hawajui ilivyo hovyo, imagine hiki kipande cha muhindi ni Tsh 600 Kenya

Screenshot_20221225-145018.png
 
Hii ndio kitu huyo kilaza wenu alisema 👇


Sasa swali ni: Tanzania ina hela nyingi kushinda zile nchi za ulaya ambazo hazina electric train? Mbona sasa unatetea ujinga?

Nchi yenu imefulia, ndiyo maana mnajenga SGR mafuta. Na sasa serekali yenyu, haitafanya miradi mwingine tena.
 
Wakenya wanajivunia currency yenye nguvu lakini hawajui ilivyo hovyo, imagine hiki kipande cha muhindi ni Tsh 600 Kenya

View attachment 2498514

Hiki kama sio 100 basi mia mbili pamoja na chumvi na Ndimu , Jero unapewa lote

BTW katika aina za taka barabarani Mjini Nairobae , kuna magunzj na Maganda ya mahindi mengi kuliko aina nyingine za taka
 
Hiki kama sio 100 basi mia mbili pamoja na chumvi na Ndimu , Jero unapewa lote

BTW katika aina za taka barabarani Mjini Nairobae , kuna magunzj na Maganda ya mahindi mengi kuliko aina nyingine za taka
Kumbe breakfast yao ni mahindi, mambo mengine mpk huruma aisee
 
Safi sana mkuu, huko Kenya hakuna opportunities kama hizi, ikitangazwa position moja applicants wanakuwa 100,000 ni hatari sana.
Hii issue inaweza kuwa proven easily kwa kutazama data ya formal jobs between kenya na Tanzania.Ila mmekua watu wa mipasho tu, kazi kuliwazana na kuchekeana wenyewe. Kurasa baada ya kurasa hakuna kipya
 
Hiki kama sio 100 basi mia mbili pamoja na chumvi na Ndimu , Jero unapewa lote

BTW katika aina za taka barabarani Mjini Nairobae , kuna magunzj na Maganda ya mahindi mengi kuliko aina nyingine za taka
Cha kushangaza bado wanalalamika hakuna ajira, 😂😂😂 zote umeongea ni fursa hapo kuanzia ughali wa mahindi (wanatakiwa wakalime kwa wingi ya umwagiliaji walitosheleze soko) na fursa kwenye uzoaji taka, umeshaelezea vizuri hili lakini hawa aggressiveness yao sijui ipo wapi ukiondoa ukora 😂😂😂
 
Back
Top Bottom