Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kubandika hili dude Mgongoni na kutembea nalo si angeomba Abebe. Tangazo la Product yoyote aingize kipato, Imagine kasomea hayo mambo ya Business na anateseka hivi mwaka wa Tisa, Je sisi wa Datastar si tungekufa kabisa

View attachment 2498135
😂😂😂😂😂😂😂 Jobless 9 years ashakua expert jobless tatizo haoni kama hilo sio fungu lake hana plan B na madegree yote hayo ya kazi gani sasa? 😂😂😂
 
hali ni mbaya sana huko kenya...

Watu hata huki vijijini wanajua kingereza vzr kama walondon lakin nyumba anayoishi sasa....


Tanzania Kuna mikoa ukikuta nyumba ya udongo labda ni jiko lakin huko kwao ni nyumba ni udongo mwanzo mwisho....
Mkenya anachojivunia ni kujua English na sh 1 ya Kenya ni sh 18 ya Tanzania 😂😂😂 akishaona haya anajiona yeye ni tajiri kuliko mtanzania ana relax 😂😂😂
 
Kubandika hili dude Mgongoni na kutembea nalo si angeomba Abebe. Tangazo la Product yoyote aingize kipato, Imagine kasomea hayo mambo ya Business na anateseka hivi mwaka wa Tisa, Je sisi wa Datastar si tungekufa kabisa

View attachment 2498135
His not caring what u think attitude atleast has paid off
FB_IMG_1674902603311.jpg
 
Kwa hivyo Tanzania, a Third World country iko na pesa nyingi sana kuliko hata zile nchi za ulaya ambazo hazina electric train?
Yani kujiliwazana kujifariji hamjambo!
Taja nchi yoyote ya Ulaya/tajiri ambayo imejenga reli ndani ya kipindi Cha miaka 40 nyuma, yaani kuanzia 1980s hadi Sasa ambayo imejenga "Diesel" railway trains
 

Katiba mpya kamwe haiwezi kuwasaidia watu vichaa, Kenya ni nchi ya "uncivilized people"

Ruto amempania huyo mzee sana asee... Sasa yule Riggy G ndio shida kabisa.

Kibera itawaka moto. Na ndio itakuwa strategy ya kuwakimbiza waluo ndani ya kanairo maana ndio wamejazana slums hapo na ndio nguvu ya baba anayo tumia kupiga pesa.

This time Hao ma hustler wamegoma kumpatia bahasha. Wanataka akiwashe barabarani then wamgongee.. Dah wakicheza itatokea kitu kibaya sana. Busara ni muhimu.
 
Kubandika hili dude Mgongoni na kutembea nalo si angeomba Abebe. Tangazo la Product yoyote aingize kipato, Imagine kasomea hayo mambo ya Business na anateseka hivi mwaka wa Tisa, Je sisi wa Datastar si tungekufa kabisa

View attachment 2498135
Masikini. Anatia huruma mweh! Aje Tanzania kwa cv yake anapata kazi fastaaaa!!

Datastar college .
 

Katiba mpya kamwe haiwezi kuwasaidia watu vichaa, Kenya ni nchi ya "uncivilized people"
Ikiwa raia hawaoni umuhimu wa kuwa na CBD safi, je katiba mpya itawasaidia nn vichaa kama hawa? Eti wanakuambia omba omba wote Kenya ni Watz, mwaka wa 20 huu wanaimba wimbo huo huo, kwnn wasiwafukuze, Wakenya ni raia wa hovyo sn kuwahi kutokea duniani, ni wachafu na hawana elimu pia hawana ustaarabu hata wa kuzaliwa.
 
Back
Top Bottom