KENPAULITE
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 3,511
- 3,313
Lack of sewerage infrastructure in Dar es salaam clearly, pit latrines everywhere
😄 same person
Kumbe TPA inakuanga na mkia ndefu nono kama mkia wa kondoo wa kiume? 😂😂😂
View attachment 2497033
Nini caha ajabu hapa,ama ni blue buses na swamp? 😃
Dar is Slum 😂What!! Yaani Aside from these 3 buildings, let's be honest...what is Dar?
Kwa hivyo nchi zote hazina electric train hazina Pesa?Pesa ya kujenga tereni ya sitima.
Hii inaonyesha ni kiasi gani Tanzania inavyowagusa wakenyaHuyu kasema Tanzania tayari imeshaipita Kenya
Frame #2



Mkuu, hata wakenya wenyewe wamekubali kwamba jeshi lao halina uwezo, ni kelele za kujisifu tuHivi KDF wanafanya Nini?View attachment 2497631
Yani tunawaacha hawa mbwa huku wanajiona aiseePhase 5 mwanza to isaka








Moja kati ya majeshi dhaifu zaidi duniani, jeshi linashindwa kuwalinda hata raia wake eti likalinde raia wa nchi nyingine ulisikia wapi.Hivi KDF wanafanya Nini?View attachment 2497631
Ndio hivyohivyo, hakuna nchi yoyote yenye pesa na uongozi Bora ambayo inajenga rail inayotumia "Diesel" ktk Karne hiiKwa hivyo nchi zote hazina electric train hazina Pesa?
Aliyekuwa anauthubutu hayupo now, wacha wamalizie miradi yake basi.Hili suala hapo wamejitahidi. Lkn, wajuzi wa mambo.. Tanzania sisi wenyew tunashindwa nn kushimba visima au kujenga yale matanks sijui silos vya kuhifadhi mafuta kama wamarekan wanavyofanya.. yan tujenga vya kutosha hata nusu mwaka au mwaka mzima, mfano hata bei ya mafuta ikipanda sisi haitatuaffect kwa mafuta yatakayokuwa yamereserviwa kwenye hivyo visima (yan bei yetu itabaki ileile mpk yatakapobaki ya mwezi mmoja au miwil)..
shida au kikwazo kiko wap? Mabeberu hawapend tusave mafuta mengi? Ili bei ikipanda wasitajirike? Au nn shida?
Umeipenda eehh, jengo kama render mwanangu






Kwenye soka hatupaswi kulinganishwa na nyie, bingwa Tz anapata prize milioni 600 but bingwa Kenya anapata milioni 18Huo mchezo unaopendwa duniani bado pia mnasoma number yetu, kama ilivyo ada
Check latest FIFA rankings














