Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

IMG_6532.jpg

IMG_6531.jpg

IMG_6530.jpg

IMG_6529.jpg
 
Kwa sasa watu wamerudi kwenye umaskini kwasababu yamfumuko wa bei vmza bidhaa muhimu,mtu ambae kipato chake ni 10,000/= kwa siku kama kilikua kinamtosha miaka miwili iliopita sahivi hakitoshi tena na kipato hakijaongezeka.
Serikali iingilie kati huu mfumuko wa bei unaumiza sana watu wa chini

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
For the first time nakuona ukipingana na takwimu🤣🤣
Ila umeongea facts kama ilivyo kawaida yako
 
Mchele kg1 tsh2800
Maharage1kg 3800
Unga 1kg tsh 1800
Nyama 1kg tsh 8000
Alafu day worker kwa kutwa 10,000/= kwa boss muelewa

Kwahyo watu wasilie maisha magumu kwasababu ya Argentina na wanaishi Tanzania? We vp bana we

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
Its diffcult ku control inflation kama una free market na pia nchi zilizokuzunguka zina inflation au duniani kuna inflation.

Swala la inflation kiukubwa linaletwaga na Gas prices , Hasa mafuta yakipanda

Issue kubwa ya wa Tz au wafanyabiashara ni kupandisha kila kitu nje ya uhalisia hasa wakishaona mafuta yamepanda Bei ,

Serikali inaweza kuingilia kati kwa kuweka bei elekezi hasa ikishakuwa na uhakika kuwa supply ipo ila ni wafanyabiashara wamejiongezea bei

Naturally inflation always ipo , sema kwa rate ndogo ndogo kila mwaka

Ndo maana kwa wana uchumi wengi hata wa nje ya nchi na kwa investor wengi inashauriwa usiwe na Cash reserves nyingi either as individual , company au nchi

Kama hiyo cash haitumiki recurently au haitatumika soon ni bora ununue vitu vinavyoweza ku maintain value over time

Kama Land, Gold , Silver , Diamond, Bitcoin (Kwa wengine),

Kwa sababu Cash hata USD always will loose value over time cause of inflation.

Nakupa mfano wa Egypt Pound imepoteza Value sana last year wana crisis kubwa sana nchini mwao

Kutoka 1usd by 13Egypt pound to 29 egypt pound , unahitaji as twice ku acess dollar

Ni kama uhitaji 4600 tsh kununua Usd 1 from 2300 sasa hivi

Tusiombee Tanzania tufike hapa
 
Its diffcult ku control inflation kama una free market na pia nchi zilizokuzunguka zina inflation au duniani kuna inflation.

Swala la inflation kiukubwa linaletwaga na Gas prices , Hasa mafuta yakipanda

Issue kubwa ya wa Tz au wafanyabiashara ni kupandisha kila kitu nje ya uhalisia hasa wakishaona mafuta yamepanda Bei ,

Serikali inaweza kuingilia kati kwa kuweka bei elekezi hasa ikishakuwa na uhakika kuwa supply ipo ila ni wafanyabiashara wamejiongezea bei

Naturally inflation always ipo , sema kwa rate ndogo ndogo kila mwaka

Ndo maana kwa wana uchumi wengi hata wa nje ya nchi na kwa investor wengi inashauriwa usiwe na Cash reserves nyingi either as individual , company au nchi

Kama hiyo cash haitumiki recurently au haitatumika soon ni bora ununue vitu vinavyoweza ku maintain value over time

Kama Land, Gold , Silver , Diamond, Bitcoin (Kwa wengine),

Kwa sababu Cash hata USD always will loose value over time cause of inflation.

Nakupa mfano wa Egypt Pound imepoteza Value sana last year wana crisis kubwa sana nchini mwao

Kutoka 1usd by 13Egypt pound to 29 egypt pound , unahitaji as twice ku acess dollar

Ni kama uhitaji 4600 tsh kununua Usd 1 from 2300 sasa hivi

Tusiombee Tanzania tufike hapa
Umejibu kisomi na nimefurahia hii reply
Haya sasa toa ushauri nn kifanyike kwa hali iliopo

Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom