Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hivi kwanini Serikali isifanye namna hii, kuanzia pale kwenye Chuo cha DMI mpaka usawa huu wa Court of Appeal wajenge Terminal ya abiria ya kisasa ambayo itatumika for both Cruise Ships na Normal Ships ambayo itakuwa na maofisi ya wasafirishaji, forodha, immigration na other agencies. Alafu ile DMI peleka kule Mwalimu Nyerere University wakipanue kiwe Chuo Kikuu cha Marine Studies. Then ile Mwalimu Nyerere wale wanafunzi peleka kule Chuo cha Butiama ambacho hakuna wanafunzi wakasome huko. I’m thinking out loud. 🤔
 
Nimeona Wakenya wengi sana maarufu (wanasiasa, wanaharakati na wanafunzi) wametuma salamu za heri ya kuzaliwa kwa Rais Samia. Nimestuka sana na haya mapenzi ya ghafla ya hawa jirani zetu, ukiangalia kwa undani kabisa unaona ni salamu ambazo ziko staged kwa lengo maalumu kabisa, nadhani ni kamkakati ka kumuweka mtu kati Mama alegeze mambo fulani fulani, sababu namna ambavyo tumewashika hawa jamaa, sioni wakitoboa any time soon. Anyways, ngoja tuone.
 
Nimeona Wakenya wengi sana maarufu (wanasiasa, wanaharakati na wanafunzi) wametuma salamu za heri ya kuzaliwa kwa Rais Samia. Nimestuka sana na haya mapenzi ya ghafla ya hawa jirani zetu, ukiangalia kwa undani kabisa unaona ni salamu ambazo ziko staged kwa lengo maalumu kabisa, nadhani ni kamkakati ka kumuweka mtu kati Mama alegeze mambo fulani fulani, sababu namna ambavyo tumewashika hawa jamaa, sioni wakitoboa any time soon. Anyways, ngoja tuone.
Huyu kasema Tanzania tayari imeshaipita Kenya 😶

Frame #2
 
Kila siku nahangaika na Economics kumbe kuna Professor
jamaa ameshusha nondo. Humu ndani kuna watu wako vizuri sana, watu wana mawazo chanya sema ndio hivyo huwa hawapewi nafasi kuonyesha umahiri wao.

Unakuta akina siye ndio tunaaminiwa tukiulizwa swali na wananchi tunaanza kuwatisha unajua mimi ni nani wewe?...hivi umesoma kweli wewe? Siongei na la 7 mimi, nitakupoteza usinichezee wewe
 
Hakuna filter hapo muulize KENPAULITE
Wewe kijana wa Tandale unapenda ubishi sana.
Kwamba hii picha haina filter?
images - 2023-01-27T125722.487.jpeg
 
Nimeona Wakenya wengi sana maarufu (wanasiasa, wanaharakati na wanafunzi) wametuma salamu za heri ya kuzaliwa kwa Rais Samia. Nimestuka sana na haya mapenzi ya ghafla ya hawa jirani zetu, ukiangalia kwa undani kabisa unaona ni salamu ambazo ziko staged kwa lengo maalumu kabisa, nadhani ni kamkakati ka kumuweka mtu kati Mama alegeze mambo fulani fulani, sababu namna ambavyo tumewashika hawa jamaa, sioni wakitoboa any time soon. Anyways, ngoja tuone.
Si tuliwashtukia kwenye sabotage yao kwenye maparachichi. Hawa jamaa ni wanafiki sana! Walikua wanataka kuua soko lote la parachichi la Tanzania
 
Back
Top Bottom