Kama hiyo ndio kitu inazingatiwa Kenya haingekuwa mbele yenu kwenye FIFA ranking. Tumia akili angalau kidogoKwenye soka hatupaswi kulinganishwa na nyie, bingwa Tz anapata prize milioni 600 but bingwa Kenya anapata milioni 18![]()
Kwa hivyo Tanzania, a Third World country iko na pesa nyingi sana kuliko hata zile nchi za ulaya ambazo hazina electric train? 😂😂😂Ndio hivyohivyo, hakuna nchi yoyote yenye pesa na uongozi Bora ambayo inajenga rail inayotumia "Diesel" ktk Karne hii
Idea Nzuri Hapo inaweza pigwa terminal kali , na University kuamina kigamboni ni idea nzuriHivi kwanini Serikali isifanye namna hii, kuanzia pale kwenye Chuo cha DMI mpaka usawa huu wa Court of Appeal wajenge Terminal ya abiria ya kisasa ambayo itatumika for both Cruise Ships na Normal Ships ambayo itakuwa na maofisi ya wasafirishaji, forodha, immigration na other agencies. Alafu ile DMI peleka kule Mwalimu Nyerere University wakipanue kiwe Chuo Kikuu cha Marine Studies. Then ile Mwalimu Nyerere wale wanafunzi peleka kule Chuo cha Butiama ambacho hakuna wanafunzi wakasome huko. I’m thinking out loud.![]()
Wana hubris zao tu za kishamba lakini deep down wanaelewa nafasi ya Tanzania ni ipi ukanda huu, on the other note nimegundua viongozi wakubwa wa Kenya wanaifuatilia sana Tanzania sio kwenye entertainment tu!Hii inaonyesha ni kiasi gani Tanzania inavyowagusa wakenya![]()
Yeah mzee wanagonga kazi kaa shift kama hospitaliTPA 24/7 hapa wamejitahidi
, Na kweli Dar Port inaleta mapato sana Kwa Tz , na ndo maana kama serikali inapita humu naomba warudishe mradi wa Gati number 13 ,14 Container terminal, ikiwezekana hara na 15 , watashangaa mapato yata double in 1 year tu Project ikiishaNimeiangalia pia hio video...na pia namfuatilia youtuber I am Marwa kule kijijini kwakeNimeangalia hii video ya huko kenya kwenye zile counties zao chache zenye 'ahueni ya maisha' huku kijijini nyumba hazina umeme halafu kuweka dish ni moja ya achievement kubwa sana kwa perception ya wenyeji, nikacheka sana wakati Tanzania vijijini unakuta nyumba 1 ina dish mpaka 5 za decoders zote
Wakenya mna safari ndefu sana kama haya ndio maisha yenu ya vijijini! Nyumba zenyewe zinasikitisha, mashine ya kusaga inatafutwa miles 59
Bongolala mnawashwa na kdf ila jeshi lenyu pia liko congo kwa muda sasa na hamna kitu mmefanya.. kdf priority yake ilkua peace keeping wakati tunaendelea kunegotiate na m23 kuachilia maeneo.Mkuu, hata wakenya wenyewe wamekubali kwamba jeshi lao halina uwezo, ni kelele za kujisifu tu
Picha ya mwisho ni Mwanza mkuu🙏🙏🙏🙏
Sikiza, moja kati ya number one headache ya kila nchi huwa ni jirani yako kwenye mambo ya kiuchumi, kiulinzi, kijamii na hata kisiasa. Ila naona Tanzania kwa Kenya ni extreme, unajua wameshajua nimewajua janja janja yao, na wamejua tunavyoenda hawawezi kutupata and in no time they will kiss our ass.Wana hubris zao tu za kishamba lakini deep down wanaelewa nafasi ya Tanzania ni ipi ukanda huu, on the other note nimegundua viongozi wakubwa wa Kenya wanaifuatilia sana Tanzania sio kwenye entertainment tu!
Milioni 18 wapi, anapigiwa makofi……😂😂😂Kwenye soka hatupaswi kulinganishwa na nyie, bingwa Tz anapata prize milioni 600 but bingwa Kenya anapata milioni 18![]()
Kenya ni ligi ya ngapi kwa ubora Africa?Kama hiyo ndio kitu inazingatiwa Kenya haingekuwa mbele yenu kwenye FIFA ranking. Tumia akili angalau kidogo
Bongolala mnawashwa na kdf ila jeshi lenyu pia liko congo kwa muda sasa na hamna kitu mmefanya.. kdf priority yake ilkua peace keeping wakati tunaendelea kunegotiate na m23 kuachilia maeneo.
Juzi Uhuru kapatana na viongozi wa m23 mombasa na kustrike deal m23 kuachilia north kivu
View attachment 2497906
So far maeneo 4 yameachiliwa na m23 na kdf kuchukua jukumu la kudumisha amani.
Mbna tutake kuengage m23 vitani wakati mbinu zingine zinafanya kazi??
Nyinyi mmekua Drc hio miaka yote gains zenyu zimekua zipi??
Tumekua DRC miaka yote na ushawahi kusikia wananchi wanataka kuifukuza TPDF? Jeshi lenu limeenda juzi tu tayari wananchi na wacongo kwa ujumla hawaitaki kdf, hiyo ni kwasababu kdf haina maadili just like Kenyans wote mlivyo hamna maadili, jeshi linabaka wadada, linaiba dukani, linaiba shambani, linaiba migodini unadhani wananchi watalitaka hilo jeshi? Nyie Wakenya mko hovyo sn kimaadili, mna njaa mby sn ya kuzaliwa.Bongolala mnawashwa na kdf ila jeshi lenyu pia liko congo kwa muda sasa na hamna kitu mmefanya.. kdf priority yake ilkua peace keeping wakati tunaendelea kunegotiate na m23 kuachilia maeneo.
Juzi Uhuru kapatana na viongozi wa m23 mombasa na kustrike deal m23 kuachilia north kivu
View attachment 2497906
So far maeneo 4 yameachiliwa na m23 na kdf kuchukua jukumu la kudumisha amani.
Mbna tutake kuengage m23 vitani wakati mbinu zingine zinafanya kazi??
Nyinyi mmekua Drc hio miaka yote gains zenyu zimekua zipi??